Dah! hawa COET-UDSM, wamezidi sasa


Dah unanikumbusha machungu ila na mimi nilitoboa.
 

ninasoma hapa department flani aisee hawa jamaa ni complicatorrs balaa
 
Yani! Alafu kuna tangazo la kazi walikuwa wanataka engineer wa Civil na wakaandika eti mshahara laki tano. Yani niliyaona hayo ni matusi balaa!
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…