Tulianza wanafunzi 20 katika fani ya electrical power engineering,mpaka hvi ninavoandika hii thread tunao endelea na masomo yan 3rd year tumebaki 6,kati ya hao 6,kuna wasichana wawili ambao nao mwaka huu walikua wamedisco ila wakapewa special upendeleo wakaendelea na masomo,overal GPA Kwa mwaka huu ni 2.6,sio kwamba hatusomi,tunakomaa mbaya yani.najiuliza ni nin kinafanya hapa coet mambo yawe hivi,au ni unoko wa maticha wa hapa au vip ila sipati jibu,huko kwenye department ya civil ndo usipime watu wanadisco kama hawana akil nzuri.tuombeeni tu tutoboe salama wakuu,maana hali ni tete hapa,muda wowote unafungasha virago vyako.
watoto wa siku hizi starehe nyingi.Mi niko hapa tangu FOE hadi leo, naona tofauti kubwa sana iliyopo kati ya wanafunzi wa FOE na COET.Siku hizi yaani wanafunzi wanakula raha kama mangwini.
Tulianza wanafunzi 20 katika fani ya electrical power engineering,mpaka hvi ninavoandika hii thread tunao endelea na masomo yan 3rd year tumebaki 6,kati ya hao 6,kuna wasichana wawili ambao nao mwaka huu walikua wamedisco ila wakapewa special upendeleo wakaendelea na masomo,overal GPA Kwa mwaka huu ni 2.6,sio kwamba hatusomi,tunakomaa mbaya yani.najiuliza ni nin kinafanya hapa coet mambo yawe hivi,au ni unoko wa maticha wa hapa au vip ila sipati jibu,huko kwenye department ya civil ndo usipime watu wanadisco kama hawana akil nzuri.tuombeeni tu tutoboe salama wakuu,maana hali ni tete hapa,muda wowote unafungasha virago vyako.
Tulianza wanafunzi 20 katika fani ya electrical power engineering,mpaka hvi ninavoandika hii thread tunao endelea na masomo yan 3rd year tumebaki 6,kati ya hao 6,kuna wasichana wawili ambao nao mwaka huu walikua wamedisco ila wakapewa special upendeleo wakaendelea na masomo,overal GPA Kwa mwaka huu ni 2.6,sio kwamba hatusomi,tunakomaa mbaya yani.najiuliza ni nin kinafanya hapa coet mambo yawe hivi,au ni unoko wa maticha wa hapa au vip ila sipati jibu,huko kwenye department ya civil ndo usipime watu wanadisco kama hawana akil nzuri.tuombeeni tu tutoboe salama wakuu,maana hali ni tete hapa,muda wowote unafungasha virago vyako.
Huo special upendeleo umeanza kutolewa lini kwa mtu aliyedisco coet, na unatolewa kwa vigezo gani?
Mkuu Engineer ni Problem solver sasa wewe mida hii badala ya kupiga shule unakomaa na kuanzisha nyuzi hapa JF mara COET-UDSM wamezidi mara Maandamano unategemea utapata matokeo gani? Komaa na shule dogo, kwa kasi uliyonayo na JF Chambega huwezi kumkwepa bora mdisco ili tupate wahandisi makini kwani wahandisi kama nyinyi mkiingia kwenye system mtakuwa kutwa kwenye JF na FB,
Huo special upendeleo umeanza kutolewa lini kwa mtu aliyedisco coet, na unatolewa kwa vigezo gani?
Mkuu Engineer ni Problem solver sasa wewe mida hii badala ya kupiga shule unakomaa na kuanzisha nyuzi hapa JF mara COET-UDSM wamezidi mara Maandamano unategemea utapata matokeo gani? Komaa na shule dogo, kwa kasi uliyonayo na JF Chambega huwezi kumkwepa bora mdisco ili tupate wahandisi makini kwani wahandisi kama nyinyi mkiingia
kwenye system mtakuwa kutwa kwenye JF na FB,
usibishe pale coet ni noma,wasipofanya hvyo Electrical au electromechanical wasichana wote kushney,Coet hzo ndio moja ya kozi ngumu pmj na civil.
mbona hapa coet ni kawaida kwa wadada kuonewa huruma,GPA zao zilikua ziko chini ya 1.8 ambayo kwa kawaida mtu unakua umedisco,so wao huwa wanabustiwa.