Dah!! aliyebuni usafiri wa bodaboda katisha

Dah!! aliyebuni usafiri wa bodaboda katisha

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
33,481
Reaction score
53,342
11880676_10206045810919174_4344552734407848702_n.jpg
 
Itakua tanzania au uganda kenya hakuna hizo pikipiki nyingi ni boxer
 
Hii haiwezi kuwa Tanzania, Yaani apite amejitanua hivyo kwenye barabara kuu na Trafiki au wale Tigo wa bongo wanamuangalia tu?!!
 
afu mbona kama pikipiki zote zinazoonekana hapo hazina plate number?? TZ utapita nazo wapi na traffic njaa walivyojaa hadi vichochoroni huko..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom