Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,285
- 39,490
Hii ni kwa dada zetu ambao mnakuja sana magheton kwa mabachelor, je ukifika ghetto la bachelor ni kitu gani cha kwanza kutizama?
Fungukeni.
Fungukeni.
Umenisema kama nilivyo isipokua badala ya mafimbo na matairi mabovu mimi nina nondo na neti sina.Chumba cha mwanaume kitakuonyesha picha kamili ya hicho kidume. Kinajitambua? mwanamume anayejitambua yuko systematic... mpangilio wa chumba, hali ya usafi, vitu vilivyomo chumbani. Hapa sio lazima ukute mativii, mameza sijui manini ya thamani... hapa unaangalia vitu vya mtu ajijuae, sio unakuta kuna matairi mabovu, kuna machupa ya maji yaliyotumika, makopo, mafimbo, kumejaa makaratasi ovyo ovyo, dirishani ndio dressing table, miswaki imesambaa kila mahali, neti toka ichomekwe haiujawai tolewa, masoksi machafuuu, uvundo chumba kizim!.
Ukiona kuna dalili kwamba usafi umefanyika siku ya kuja mgeni ujue huyo sio....
ongezeeni vingine.....
😄😄😄😄, Msosi?🤔kusafi? msosi upo?
🤣🤣🤣🤣wakifika wanaangalia kama jamaa anafaa kuombwa hela au asamehewe tu....
, Msosi?
![]()
Ila mwisho wa yote hayo kitu muhimu kwao ni hela tu,hayo mambo mengine ni mbwembwe tu,aangalie usafi kwani amekuja kuhamia humo mazima?
Nadhani mlenga mada amelenga michepuko kwenda magheto.kama ni ghetto la kaka angu kwanini nisiangalie usafi jamani
Chumba cha mwanaume kitakuonyesha picha kamili ya hicho kidume. Kinajitambua? mwanamume anayejitambua yuko systematic... mpangilio wa chumba, hali ya usafi, vitu vilivyomo chumbani. Hapa sio lazima ukute mativii, mameza sijui manini ya thamani... hapa unaangalia vitu vya mtu ajijuae, sio unakuta kuna matairi mabovu, kuna machupa ya maji yaliyotumika, makopo, mafimbo, kumejaa makaratasi ovyo ovyo, dirishani ndio dressing table, miswaki imesambaa kila mahali, neti toka ichomekwe haiujawai tolewa, masoksi machafuuu, uvundo chumba kizim!.
Ukiona kuna dalili kwamba usafi umefanyika siku ya kuja mgeni ujue huyo sio....
ongezeeni vingine.....







Umenisema kama nilivyo isipokua badala ya mafimbo na matairi mabovu mimi nina nondo na neti sina.

Ila mwisho wa yote hayo kitu muhimu kwao ni hela tu,hayo mambo mengine ni mbwembwe tu,aangalie usafi kwani amekuja kuhamia humo mazima?
Nadhani mlenga mada amelenga michepuko kwenda magheto.


, kama havipo?
Hehehe si mchezo. Amesahau nguo chini ya kitanda kwenye misumari na kitandaniAu mabati![]()
Hehehe si mchezo. Amesahau nguo chini ya kitanda kwenye misumari na kitandani


