Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,152
- 159,076
Tooba yarabi, eti hawa ndio waoaji jamaniRaha ya JF ni watu waliopo gizani...unarusha tu lijiwe....ukisikia mtu kasema "yalaaaaaaaa" ujue jiwe limegota mahala pake....
Walah twafwaaaaaa!
Tooba yarabi, eti hawa ndio waoaji jamaniRaha ya JF ni watu waliopo gizani...unarusha tu lijiwe....ukisikia mtu kasema "yalaaaaaaaa" ujue jiwe limegota mahala pake....
dini yenyewe hii inaruhusu mke mmoja tu...mwingine nampeleka wapi 🤫Tooba yarabi, eti hawa ndio waoaji jamani
Walah twafwaaaaaa!
Si ndio namwonea huruma huyo aliyejibebea furushidini yenyewe hii inaruhusu mke mmoja tu...mwingine nampeleka wapi
😂 😂Si ndio namwonea huruma huyo aliyejibebea furushi
Mungu tufanyie wepesi.
Tuna mafurushi sisi acha tu. Mtuombee.
Hahahaha jibu zuri kanisa hilo ikinitokea nita i applyYou have got be kiddin me
Mwambie voda wamenipa offa
Sasa yeye badala achekelee fursa imekuja anauiliza ili agundue nn, hata ukijua namba kanipa fulani wewe inakusaidia niniWooooi!!
Sasa wewe hujishangai halafu unamshangaa huyo kweli?
Hahahaha jibu zuri kanisa hilo ikinitokea nita i apply
Hivi unafikiri wote tukiingia uwanjani kucheza mpira watazamaji watatoka wapi? Sio lazima wote waolewe
Kila kitu kina wakati wake usilazimishe
Kuna bibi kanisani ameolewa akiwa 60 mchumba akiwa 70mwanamke ufikishe miaka 36+ hujaolewa then useme kla ktu na wakat wake aaaaaaaaa
kaulazmsha uo wakatKuna bibi kanisani ameolewa akiwa 60 mchumba akiwa 70
Kuna bibi kanisani ameolewa akiwa 60 mchumba akiwa 70
Mbona wake za watu wanachepuka? Mama D na mama Kalisa ni mfano mzuri. Zama hizi watu wapo kwenye ndoa lakini wanachepuka.Tukiolewa wote mtachepukia wapi
wakati wako upo karibu sana kufika kama uko serous hadija rashidi!Mi natamani nikiona mashoga zangu kila mwezi nawachangia harusi sema sina haraka najua atakuja mtu ila ndo lini sijui na nishasema sitaki ndoa ya majaribio ya kuwafurahisha binadamu.
Wakati ukifika na mie nitakua Mrs. somebody inshallah
anayegonga anaweza akabadili gia angani au sio!Kwani hao wengine wanaooa wameoa mabikra? Kama kigezo ni nisigongwe mi sio bikra kwahiyo kugonjwa kupo mpaka atakapotokea huyo Mr. right. Halafu mi hata mtu akisema chochote ambacho mi hakinisumbui ni sawa tu kwa kweli ila siwezi acha kwa maneno ya mtu. Huwezi jua anaegonga nae anaweza akanogewa na kugonga akawa mume sasa kwanini nijime utamu.
Kauli mbiu yangu ni "Enjoy the journey while waiting".
of course hukumtaja jina na wala simjui ila ni kwa vile tu nimeumbwa kutokupenda mtu innocent akidhihakiwa whether ametajwa jina au namjua ila all in all kama wewe unayemjua na ni wifi yako umeamua kumkejeli hivyo mimi nisiyemjua ni nani hadi nikuzuie kuendelea kumkejeli huyo wifi yako!Sijamtaja jina Sasa sijamtendea haki kivipi au unamjua? Kukeketwa kunaweza kukawa sababu ya kutokuolewa pia, huenda anayaonea aibu maumbile yake.
Woi. Atasemwa tu kwani yeye ni binadamu Kama mimi. Hata mimi nasemwa lakini sijali ndo maisha yalivyoof course hukumtaja jina na wala simjui ila ni kwa vile tu nimeumbwa kutokupenda mtu innocent akidhihakiwa whether ametajwa jina au namjua ila all in all kama wewe unayemjua na ni wifi yako umeamua kumkejeli hivyo mimi nisiyemjua ni nani hadi nikuzuie kuendelea kumkejeli huyo wifi yako!