Dada zangu poleni sana!

Dada zangu poleni sana!

jamani wathirika wakubwa wa social media ni wabidada! unajua nini leo nilipanda daladala nikakaa seat ya nyuma mbele yangu kuna mzee misiri ya Mh. wsr anachat na mrembo whatsup anamrushia verse na mdada karibu nyingi kama anampata vile mzee wa watu, mwisho wasiku kamkubalia jamaa!
Mnapaswa kubadilika jamani be serious mzee si tu waajabu anadandia daladala na akina j.mahinya wenye miaka 20 na kitu huku yeye ni misiri ya Mugabe huenda hata bimkubwa huko home hajala zee lina ipad linachat na warembo macho juu kwenye daladala wanapeana promises! Heshimuni ndoa za watu wenye umri wa baba na babu zenu mabidada duh!!!

hapa mmu si mara kibao mabinti wanasifia madingi sasa si ndo wanafanya kweli
 

Attachments

  • 1395903489299.jpg
    1395903489299.jpg
    70.5 KB · Views: 64
Hiyo ni tabia mbaya sana kukaa kwenye daladala na kuanza kutumbulia mijicho simu za watu we inakuhusu nini? personal life ya mtu?
af isitoshe hamfahamiani dats ##@@@@##
 
Jamani wathirika wakubwa wa social media ni wabidada! unajua nini leo nilipanda daladala nikakaa seat ya nyuma mbele yangu kuna mzee misiri ya Mh. wsr anachat na mrembo whatsup anamrushia verse na mdada karibu nyingi kama anampata vile mzee wa watu, mwisho wasiku kamkubalia jamaa!
Mnapaswa kubadilika jamani be serious mzee si tu waajabu anadandia daladala na akina j.mahinya wenye miaka 20 na kitu huku yeye ni misiri ya Mugabe huenda hata bimkubwa huko home hajala zee lina ipad linachat na warembo macho juu kwenye daladala wanapeana promises! Heshimuni ndoa za watu wenye umri wa baba na babu zenu mabidada duh!!!
they never want to learn anything kinachohusu "their river btn" you are just wasting you time!
 
kwanza wewe ni mbea coz inaonekana ulikuwa unachungulia anachoandika mzee wa watu mwanzo mwisho hadi kujua walichokubaliana, ni tabia mbaya, watu kama nyie hamshindwi hata kuwachungulia mama zenu wakioga...seat ya nyuma mwenzio yupo mbele ulionaje looh mwanaume bazazi wewe ushindwe na ulaanike. nawasi wasi ulipitilizwa hata kituo.
 
Unaishi mtaa gan? kazi yako nin?
wacha umbea na kufuatilia maisha ya watu,
jifunze lugha, misili ndo mdudu gani?
 
Hamna kitu nachukia kama mtu kuchungulia mwenzake anachat nini kwenye simu yake, ni ushamba sana!!! we mtoa mada una matatizo ya kisaikolojia, huwezi kuchungulia simu za watu kibwege hivyo au umezoea/ulizoea kupiga chabo wazazi wako usiku??
 
Back
Top Bottom