Dada zangu poleni sana!

Dada zangu poleni sana!

Ungemwambia huyo babu papo hapo kuwa aheshimu ndoa yake!
 
nilikua sijui kama mtoa mada ni miaka 20,hiki ndio cha muhim katika mada hii!
 
Yaani kwenye daladala ulionaje jinsi mtu anavyochat na anachat na nani? Ningekuwa mie ningekuwa nakutukana kwa kumsimulia kuna mmasai aanachungulia nnachoandika! Khaa!

mmasai ni tusi?

mmmmh!!!! umdhaniae ndiye.............
 
acha kufatilia ya watu mkuu, nadhani yako hujayamaliza or ile mimba ulirudishiwa lol, wengine wanachat kujifurahisha tu
 
Yaani kwenye daladala ulionaje jinsi mtu anavyochat na anachat na nani? Ningekuwa mie ningekuwa nakutukana kwa kumsimulia kuna mmasai aanachungulia nnachoandika! Khaa!

Tabia mbaya yaani unachungulia mtu anavochati na watu wake? Huo ni ushamba halafu ni umbea kabisa!
 
alafu kuna siku nlikutana na hch kibabu Asprin maeneo...kibabu penda penda hch,usikute ndo chenyewe utafiti

Naanza kuamini sasa, enhe akakuambiaje?
Cc Asprin
 
Last edited by a moderator:
Yaani kwenye daladala ulionaje jinsi mtu anavyochat na anachat na nani? Ningekuwa mie ningekuwa nakutukana kwa kumsimulia kuna mmasai aanachungulia nnachoandika! Khaa!

King'asti kwani kuwa maasai ni tusi? Tutake radhi jamii ya maa. Hehehe.
 
Wazee mwisho Chalinze, wa wapi wewe. Mjini ni vijana wa zamani. Kwenye kona kona tuko pamoja.

Juzi nilipita Chalinze wakati naelekea Morogoro nikakuta wazee wa Chalinze nao wanaandamana kwa madai kwamba wazee mwisho Mikumi na Segera!!
 
Back
Top Bottom