Dada Zangu Nawaombeni mnisaidie

Dada Zangu Nawaombeni mnisaidie

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,034
Reaction score
126,504
Msaada Hivi Kati Ya Taulo Zenu ( Sanitary Pads / Towels ) Hizi Zifuatazo Ipi Ni Bora Na Salama Kabisa Kiafya Na Kimatumizi Kwani Wifi Yenu Amekuwa Ni Bingwa Wa Kuzichanganya Kiasi Kwamba Naona Hata Ile Ladha Ya TUNDA Lake Lake Siku Hizi Inatoweka Na Napata Hamu Ya Kuanza Kucheza Mechi Za " NJE CUP " Ili Kupata Ladha Ile Ya TUNDA Niitakayo.

  • Jassy
  • Always
  • Enjoys
  • HQ
Nitashukuru Mkinielekeza Kwani Mnaweza Mkamuokoa Mwenzenu Ili Nisicheze Mashindano Yetu Wanaume Yasiyo Na Kombe Lolote.

Karibuni!
 
Mh sijawahi waza ina effect kwenye tendo la ndoa kwani akizitumia anapata madhara gani??fungus kuwashwa au nini??
 
mimi nakushauri uulize hao wa nje wanatumia nini then apply kwa huyo uliye nae nadhani hii ni bora kwako kiafya , kiuchumi, kimaadili na hata mungu muumba anakubariki aamen.
 
mimi nakushauri uulize hao wa nje wanatumia nini then apply kwa huyo uliye nae nadhani hii ni bora kwako kiafya , kiuchumi, kimaadili na hata mungu muumba anakubariki aamen.

Ushauri huu ni maridhawa.........otherwise atumie ngozi..........
 
mimi nakushauri uulize hao wa nje wanatumia nini then apply kwa huyo uliye nae nadhani hii ni bora kwako kiafya , kiuchumi, kimaadili na hata mungu muumba anakubariki aamen.

Wa nje ndo nyie anawauliza..so toa ushirikiano na Mungu atakubariki.utakuwa umesaidia kuokoa ndoa ya mjumbe hapo
 
Atumie tu COTTON WOOL.Hi ipo natural sana hivyo haiongezi wala kubadilisha ladha ya Tunda kwani haina kemikali yoyote.Akishaitumia wewe onja tunda na utakubali mwenyewe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom