Dada zangu naombeni mnishauri cha kufanya

Dada zangu naombeni mnishauri cha kufanya

Ukiona mambo kama haya unaweza ukaiogopa ndoa ila haiepukiki sema kizuri ni kwamba kila ndoa ina wachezaji tofauti wangekuwa wote sawa mmmmmm pasingetosha. Ushauri, mwambie mke wako kila kitu alafu from there utajua cha kufanya.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hapana huyu nilikuja kugonga mara 1 mara 2 nikaacha

Mi ndo maana sina mpango wa kufa hivi karibuni. Haka kamai waifu kangu kalivo kazuri, na hii mirafiki yangu ilivyo mikware. İtakuja kunigongea waif kwenye kitanda changu kitakatifu.

Btw mkuu hivi si imeandikwa tuwapende na kuwafariji wajane?

Swali la kizushi huyo jamaa aloRİP aliugua muda mrefu au?? Stuka!!!! Think!!!
 
Mi ndo maana sina mpango wa kufa hivi karibuni. Haka kamai waifu kangu kalivo kazuri, na hii mirafiki yangu ilivyo mikware. İtakuja kunigongea waif kwenye kitanda changu kitakatifu.

Btw mkuu hivi si imeandikwa tuwapende na kuwafariji wajane?

Swali la kizushi huyo jamaa aloRİP aliugua muda mrefu au?? Stuka!!!! Think!!!

Mpwa amsha amsha
 
wewe ni bonge la mshamba,unamke wako alafu unatembea na shemeji yako uoni kwamba unahatarisha ndoa yako?kwa kua unakula vya watu na wewe wenzako wanakumegea mkeo.Ushauri ninao kupa mwambie shemeji yako umepima umeathirika na vvu basi hatokugusa tene
 
tayari unajbu lako hutak kumkwaza sasa unataka ushauri gan sasa.u r risking ur marriage coz u want to please that woman eti usimukwaze kisa kapenda.kwan ww ndo wa kwanza kupendwa.b careful..
 
Ongea na pande zote mbili wawe wake zako halali
 
Back
Top Bottom