Dada zangu kuweni makini, UKIMWI upo

Dada zangu kuweni makini, UKIMWI upo

Youngblood

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
19,504
Reaction score
57,049
Tunajua kabisa kwamba hampendi kutumia condom kutokana na sababu mbalimbali, kuna wanaosema zinawasha, zinapunguza ladha na vijisababu mbalimbali visivyo na msingi.

Hatukatai basi kama hilo ni jambo ngumu kwenu msicheze rafu sana angalau muwe mnachukua tahadhari kidogo ikiwezekana mkacheki afya na wenza wenu kabla ya kuunganisha vikojoleo sio mnavamia tu wanaume mtakuja kufa kabla ya siku zenu.

Leo mwenzenu yamemkuta amekutana na wanaume watatu tofauti tofauti alafu wote bila kinga, nimemuacha pale kituoni analia,yamemkuta Makuu

Binamu
 
Huyo hajipendii...

Msema ukweli mpenzi wa Mungu, mie mwenyewe sipendi ndomu, kavu tamu jamanii aaaah kila mahali kwe nye mwili panasisimka.

Kitu cha kwanza kwa Kasie, ikibidi nishushe kisinda ushuzi chini, basi lazima wiki moja kabla ya tukio kama si mwezi tupime. Hapo najisanua kwa afya yangu.

Hadi nikisanue...... ntakufanyia drama zote na kama una roho ndogo kama wa hit and run utakimbia mwenyewe na kusema sizitaki mbichi hizi kumbe mbivu ila ndo Matata heheheheheee.

Kavu nakula ila kwa akili.

Sasa wanaoiga bila kujua mahali na wakati muafaka wa kufanya walichoiga.... ndo wanaishia kulia kwenye vituo vya afya.


Mpe pole mhusika japo angalizo sio kwa kina dada tuu, hata wakaka / wababa aka wanaume kujilinda ni muhimu iwapo unajipenda. Ila kama mtu hajipendi wala hajijali basi atajiachia achia hovyo na yeyote popote.

Kasie Mahaba.
 
Tunajua kabisa kwamba hampendi kutumia condom kutokana na sababu mbalimbali,kuna wanaosema zinawasha,zinapunguza radha na vijisababu mbalimbali visivyo na msingi.Hatukatai basi kama hilo ni jambo ngumu kwenu msicheze rafu sana angalau muwe mnachukua tahadhari kidogo ikiwezekana mkacheki afya na wenza wenu kabla ya kuunganisha vikojoleo sio mnavamia tu wanaume mtakuja kufa kabla ya siku zenu.
Leo mwenzenu yamemkuta amekutana na wanaume watatu tofauti tofauti alafu wote bila kinga, nimemuacha pale kituoni analia.
Mkuu kwani kaka zako UKIMWI hauwahusu isipokuwa dada zako tu??
 
Huyo hajipendii...

Msema ukweli mpenzi wa Mungu, mie mwenyewe sipendi ndomu, kavu tamu jamanii aaaah kila mahali kwe nye mwili panasisimka.

Kitu cha kwanza kwa Kasie, ikibidi nishushe kisinda ushuzi chini basi lazima wiki moja kabla ya tukio kama si mwezi tupime. Hapo najisanua kwa afya yangu.

Hadi nikisanue...... ntakufanyia drama zote na kama una roho ndogo kama wa hit and tu utakimbia mwenyewe na kusema sizitaki mbichi hizi kumbe mbivu ila ndo Matata heheheheheee.

Kavu nakula ila kwa akili.

Sasa wanaoiga bila kujua mahali na wakati muafaka wa kufanya walichoiga.... ndo wanaishia kulia kwenye vituo vya afya.


Mpe pole mhusika japo angalizo sio kwa kina dada tuu, hata wakaka / wababa aka wanaume kujilinda ni muhimu iwapo unajipenda. Ila kama mtu hajipendi wala hajijali basi atajiachia achia hovyo na yeyote popote.

Kasie Mahaba.
Naunga mkono hoja.

Kavu tamu sana.
Unaisikia ladha halisi ya nyama ya kiume
Hasa uwe umewekwa doggy style...
 
Huyo hajipendii...

Msema ukweli mpenzi wa Mungu, mie mwenyewe sipendi ndomu, kavu tamu jamanii aaaah kila mahali kwe nye mwili panasisimka.

Kitu cha kwanza kwa Kasie, ikibidi nishushe kisinda ushuzi chini, basi lazima wiki moja kabla ya tukio kama si mwezi tupime. Hapo najisanua kwa afya yangu.

Hadi nikisanue...... ntakufanyia drama zote na kama una roho ndogo kama wa hit and run utakimbia mwenyewe na kusema sizitaki mbichi hizi kumbe mbivu ila ndo Matata heheheheheee.

Kavu nakula ila kwa akili.

Sasa wanaoiga bila kujua mahali na wakati muafaka wa kufanya walichoiga.... ndo wanaishia kulia kwenye vituo vya afya.


Mpe pole mhusika japo angalizo sio kwa kina dada tuu, hata wakaka / wababa aka wanaume kujilinda ni muhimu iwapo unajipenda. Ila kama mtu hajipendi wala hajijali basi atajiachia achia hovyo na yeyote popote.

Kasie Mahaba.
Wewe mtoto, unajua tayari umeshasisimua mwili wangu!!
 
Huyo hajipendii...

Msema ukweli mpenzi wa Mungu, mie mwenyewe sipendi ndomu, kavu tamu jamanii aaaah kila mahali kwe nye mwili panasisimka.

Kitu cha kwanza kwa Kasie, ikibidi nishushe kisinda ushuzi chini, basi lazima wiki moja kabla ya tukio kama si mwezi tupime. Hapo najisanua kwa afya yangu.

Hadi nikisanue...... ntakufanyia drama zote na kama una roho ndogo kama wa hit and run utakimbia mwenyewe na kusema sizitaki mbichi hizi kumbe mbivu ila ndo Matata heheheheheee.

Kavu nakula ila kwa akili.

Sasa wanaoiga bila kujua mahali na wakati muafaka wa kufanya walichoiga.... ndo wanaishia kulia kwenye vituo vya afya.


Mpe pole mhusika japo angalizo sio kwa kina dada tuu, hata wakaka / wababa aka wanaume kujilinda ni muhimu iwapo unajipenda. Ila kama mtu hajipendi wala hajijali basi atajiachia achia hovyo na yeyote popote.

Kasie Mahaba.
Naomba nije PM kasie
 
Huyo hajipendii...

Msema ukweli mpenzi wa Mungu, mie mwenyewe sipendi ndomu, kavu tamu jamanii aaaah kila mahali kwe nye mwili panasisimka.

Kitu cha kwanza kwa Kasie, ikibidi nishushe kisinda ushuzi chini, basi lazima wiki moja kabla ya tukio kama si mwezi tupime. Hapo najisanua kwa afya yangu.

Hadi nikisanue...... ntakufanyia drama zote na kama una roho ndogo kama wa hit and run utakimbia mwenyewe na kusema sizitaki mbichi hizi kumbe mbivu ila ndo Matata heheheheheee.

Kavu nakula ila kwa akili.

Sasa wanaoiga bila kujua mahali na wakati muafaka wa kufanya walichoiga.... ndo wanaishia kulia kwenye vituo vya afya.


Mpe pole mhusika japo angalizo sio kwa kina dada tuu, hata wakaka / wababa aka wanaume kujilinda ni muhimu iwapo unajipenda. Ila kama mtu hajipendi wala hajijali basi atajiachia achia hovyo na yeyote popote.

Kasie Mahaba.
Hiyo safi sana Kasie, mimi binafsi nimeshakutana na hao wasiopenda kuzitumia, ninachokifanya huwa nawaambia tukapime,akikataa naachana naye.
 
MKUU HILI JANGA KAMA UMEPANGIWA LITAKUPATA TU MENGINE NI KUDRA ZA MWENYEZI MUNGU
Huwezi kujipeleka kwenye hatari kwa makusudi huku ukijiaminisha kua eti kama umepangiwa litakupata na kama hujapangiwa litakukosa!

Ni sawa na kusimama katikati ya barabara huku ukijiaminisha kua kama hujapangiwa eti magari hayatokugonga,

Jisaidie na Mungu atakusaidia.
 
Tunajua kabisa kwamba hampendi kutumia condom kutokana na sababu mbalimbali,kuna wanaosema zinawasha,zinapunguza radha na vijisababu mbalimbali visivyo na msingi.Hatukatai basi kama hilo ni jambo ngumu kwenu msicheze rafu sana angalau muwe mnachukua tahadhari kidogo ikiwezekana mkacheki afya na wenza wenu kabla ya kuunganisha vikojoleo sio mnavamia tu wanaume mtakuja kufa kabla ya siku zenu.
Leo mwenzenu yamemkuta amekutana na wanaume watatu tofauti tofauti alafu wote bila kinga, nimemuacha pale kituoni analia.
Ujumbe mzuri sana huu,tatizo watu humu kwenye mitandao ya kijamii wanaongopeana sana!
Mtu anaweza kusema hataki condom na hua hatumii kabisa,kumbe huyo ndio wa kwanza kuiulizia condom,sasa vijana wengi wanaiga na kuamini maneno ya mitandaoni!

Kua makini sana,hii dunia ulikuja peke yako na utaondoka peke yako,tumia akili alizokupa Mungu vizuri.
 
Naunga mkono hoja.

Kavu tamu sana.
Unaisikia ladha halisi ya nyama ya kiume
Hasa uwe umewekwa doggy style...


Kuna dada mmoja tulisoma nae Alevel. Tulipotezana baada ya kumaliza shule, tukaja kuonana miaka kibao baadae yeye anaishi Zanziberi basi kwenye kuongea hapa na pale akawa ananiambia. Kasie ku.to.mba.na kutamu banaa uuuwiiih asikwambie mtu. Hasa mkiandaana, akanisimulia yeye anatumia mafuta mbalimbali ya asili, mafuta ya maji kumsinga kwanza mwanaume kabla hawajaanza shughuli, yeeuwiih akitoka hapo anavyokandamizwa, anasukumiwa ndanii na kujikuta anaongea lugha zote na kutoa sauti aina zote. Hhahahahahhaaaa nikawa nachekaaaa.

Nyama ya binadamu tamu sana hasa ukijua kuinyambua, kuipika na kuila.

Wanaojua Mahaba watanielewa, sio kuipika jikoni laaah!!

Kasie Mahaba.
 
Tunajua kabisa kwamba hampendi kutumia condom kutokana na sababu mbalimbali,kuna wanaosema zinawasha,zinapunguza radha na vijisababu mbalimbali visivyo na msingi.Hatukatai basi kama hilo ni jambo ngumu kwenu msicheze rafu sana angalau muwe mnachukua tahadhari kidogo ikiwezekana mkacheki afya na wenza wenu kabla ya kuunganisha vikojoleo sio mnavamia tu wanaume mtakuja kufa kabla ya siku zenu.
Leo mwenzenu yamemkuta amekutana na wanaume watatu tofauti tofauti alafu wote bila kinga, nimemuacha pale kituoni analia,yamemkuta Makuu

Binamu

Mitaa gani hiyo mtu analia? Iweje atamke hadharani angali majibu ni siri ya mhusika aliyepima
 
Back
Top Bottom