sina muda wa kukimbia ya mume inanitoshaaHiyo ya kwanza unamaanisha wew ndio ulikimbia mashine kubwa?
tena Mimi nikijua ananirekodi. naibonda hiyo CM mbele yake hatooaminiWala sio kuaminiana ni upunguani tuu simu ya nini kwenye mapenzi sasa
muda si mrefu ntaituma ile niliyokurekodi weeeHivi inakuaje msichana unakua na boyfriend wako unamuamini mpaka inafikia hatua mkifanya mapenzi mnajichukua video??
Tena anayeonekana hadi sura anakua ni msichana, hapo inaonesha kwamba mwanaume ndio kashika kamera kwa mkono mmoja.
Wasichana msiwaamini maboyfriend wenu mpaka ikafikia hatua hii maana mkija kugombana na kuachana kwa chuki video mwanaume ataisambaza na mwisho wake ni aibu
Nadhan mshaona video hizi za kitanzania wengine wakiwa ni wanafunzi wa vyuo.
Kilichonishangaza ni Leo kuona Video ya mwaka 2014 ya zari thebosslady akiwa anafanya mapenzi na mpenzi wake kwa njia ya video, kumbe mwanaume aliirecord.
Wabongo kwa kufukua makaburi hawajambo
Wadada kueni makini
Aiseeeee......sina muda wa kukimbia ya mume inanitoshaa


Kapicha mkuuHivi inakuaje msichana unakua na boyfriend wako unamuamini mpaka inafikia hatua mkifanya mapenzi mnajichukua video??
Tena anayeonekana hadi sura anakua ni msichana, hapo inaonesha kwamba mwanaume ndio kashika kamera kwa mkono mmoja.
Wasichana msiwaamini maboyfriend wenu mpaka ikafikia hatua hii maana mkija kugombana na kuachana kwa chuki video mwanaume ataisambaza na mwisho wake ni aibu
Nadhan mshaona video hizi za kitanzania wengine wakiwa ni wanafunzi wa vyuo.
Kilichonishangaza ni Leo kuona Video ya mwaka 2014 ya zari thebosslady akiwa anafanya mapenzi na mpenzi wake kwa njia ya video, kumbe mwanaume aliirecord.
Wabongo kwa kufukua makaburi hawajambo
Wadada kueni makini
Mkuu unadownlodia mtandao gani na mm nione kama ni kweli maaana siku hizi mmekuwa waongo nyieHamna mimi ni men, wengine dada zetu hadi nawaonea huruma.. kuna moja nliiona ya msichana wa udom yaan duuh!! Yani yule mshkaji wake kaweka jina lake zima la shule sasa si aibu hiyo
ile nilikuwa nukula 071.......Mimi men bab
omoooooo.....Kumbe wew shoga mimi silagi viboga mchezo mchafu huo
hahahaaaHiyo ya kwanza unamaanisha wew ndio ulikimbia mashine kubwa?
Unakula kipigotena Mimi nikijua ananirekodi. naibonda hiyo CM mbele yake hatooamini
Video tam bibi! Ukienda nungwi kupumzika zile siku 3 usisahau kuchukua video?Wala sio kuaminiana ni upunguani tuu simu ya nini kwenye mapenzi sasa
Video tam bibi! Ukienda nungwi kupumzika zile siku 3 usisahau kuchukua video?

video ya madhari labda tofauti na hapo simu nazifungia kibindoni kabisa