Dada yangu simuelewi

Dada yangu simuelewi

Hili jamaa limeandika nini aise? ila JF sijui tunaenda wapi
 
Nimekuelewa ingawa kwa shida sana.

Ila sina cha kukushauri.
 
Umenikumbusha demu wangu mmoja alikuwa kilaza, nilikuwa nampiga sound za ajabu halafu anaamini. Siku ya mwisho/kiama wakireplay na kunisikilizisha zile sound zangu ntaona aibu sana.
 
Mbona hueleweki kwanza we ni me au ke kaa kwa upole uandike upia
 
Back
Top Bottom