Dada yangu simuelewi

Dada yangu simuelewi

Mhh nyie mnasoma kwa haraka sana..ila nimemuelewa ....Mtoa mada analazimishwa na dada yake kutembea na jamaa ambaye hamtaki

Lakini mtoa mada keshagegedwa na huyo msela, na ali elewa shoo
Mwanamke huwa anashindwa kutofautisha baina ya mapenzi na hisiya..
 
Mkuu umemaanisha nini eti jamani!
Katika watu ambao nawaamini kuelewa mambo kwa haraka zaidi, wewe ni miongoni mwao my princess, ila kama umeshindwa kuelewa hata wewe, bas hii ngoma ni nzito tumuachie mtoa mada. Sisi tukaendelee na uzi wetu ule wa fundi maiko naona washauterekeza tayari.
 
Katika watu ambao nawaamini kuelewa mambo kwa haraka zaidi, wewe ni miongoni mwao my princess, ila kama umeshindwa kuelewa hata wewe, bas hii ngoma ni nzito tumuachie mtoa mada. Sisi tukaendelee na uzi wetu ule wa fundi maiko naona washauterekeza tayari.

Kwa kweli nimeshindwa kabisaa my dear!
 
Back
Top Bottom