Ukiona dem mrembo and that yuko way classic alaf elimu yake yakuunga unga na hana shughuli yeyote ya maana anayofanya mbaya kwao sio mtoto wa kishua or middle class yet yuko updated always. Please, NEVER EVER date or wife such a woman. Utakuja umia na kumwaga kilio.
Kuna wanawake washaona kupiga uhuni ni deal mjini hapa. It really disgusts me to tha core. Kuna mwanamke mmoja tuko nae kitaa kimoja aged between 24 - 27 years yan ndivyo hivyo alivyo. Imefika a point like kila mtu anashikwa na kinyaa juu yake na wako wengi mno.mjini hapa.
Women,
Fanyeni kazi kwa bidii kwa mikono yenu wenyewe msipende mambo msio na uwezo nayo. Hela ya mwanamne iwe bonus tu. Sisi wanaume tunaojitambua hatuwez oa makopo ya mtaani design hiyo.