Dada yangu pitia hapa

 
Na wewe ni mume wamtu?
 
Na wewe ni mume wamtu?
Mimi nataka kukuoa wewe.

Majibu yangu ni ya kifalsafa tu, hayawakilishi hali yangu ya kinyumba.

Kwa nini mtu mzima mmoja aingilie maisha ya faragha ya mtu mzima mwingine?
 
Mimi nataka kukuoa wewe.

Majibu yangu ni ya kifalsafa tu, hayawakilishi hali yangu ya kinyumba.

Kwa nini mtu mzima mmoja aingilie maisha ya faragha ya mtu mzima mwingine?
Haya njoo tuoane
 
Sasa ungekuwa wewe ndo umrfanyiwa hivo ungejisikiaje??
 
Kuna wakati nawafikiria hawa viumbee nakosa jibu ingawaje sio wote.
 
Haya njoo tuoane
Hatuoani. Kiswahili hakina kuoana.

Mwanamme anamuoa mwanamke, mwanamke anaolewa na mwanamme, hakuna kuoana. Mimi nakuoa wewe.

Sema "njoo unioe", si "njoo tuoane".
 
Teh teh acha basi kutoa siri zetu mkuu ... Unataka tuwe tuna pumzikia wapi ??? Watu Kama nyie hamfai katika jamii mnaharibu mambo...πŸ˜΅πŸ™„πŸ˜³πŸ˜±
Binafsi ninampongeza sana kwa kutoa thread nzuri nia njema ya kuimarisha Maisha ya ndoa,wewe km unaona amekuharibia hiyo ni Kimpango wako.
 

Mkuu naona dawa imekuingia kisawasawa safi sana yaani sana,endelea kupiga kelele weee lkn muda si mrefu utapona tu Ugonjwa wako,Dawa hii ni kali ni dozi ya mtu mzima mwenye meno 32.hahahahaaaaa!!!!!,
 
Umegusa penyew wanaugulia kimya kimya ......mkuu
 
Ukiona dem mrembo and that yuko way classic alaf elimu yake yakuunga unga na hana shughuli yeyote ya maana anayofanya mbaya kwao sio mtoto wa kishua or middle class yet yuko updated always. Please, NEVER EVER date or wife such a woman. Utakuja umia na kumwaga kilio.

Kuna wanawake washaona kupiga uhuni ni deal mjini hapa. It really disgusts me to tha core. Kuna mwanamke mmoja tuko nae kitaa kimoja aged between 24 - 27 years yan ndivyo hivyo alivyo. Imefika a point like kila mtu anashikwa na kinyaa juu yake na wako wengi mno.mjini hapa.

Women,
Fanyeni kazi kwa bidii kwa mikono yenu wenyewe msipende mambo msio na uwezo nayo. Hela ya mwanamne iwe bonus tu. Sisi wanaume tunaojitambua hatuwez oa makopo ya mtaani design hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…