Dada yangu ni Mama Yangu

Dada yangu ni Mama Yangu

Pole sana compact kwa kumpoteza mama yakoo,,,pia hongera sana kwa kutambua umuhimu wa dada yako ambaye ni zaidi ya mamaaa

Happy mother's day!!!!
Ahsante sana J, Mungu hukufunulia Makuu kupitia matatizo. Hakika ashukuriwe yeye mwenyewe.
 
Like Mother, like Sister..!
Hakika ni mapendo ya hali ya juu! Mungu amlaze mahala pema Mama na azidi kumbariki Dada!
 
Usilie mkuu. Wamama ni watu wengine kabisa. Ndio maana tulipewa mbegu ila kazi ya utunzaji akapewa mama. Na risks zote anazibeba yeye
Waache tu waitwe wamama
Mkuu hiyo hali yako haiwezi kufutika kamwe na uchungu wake hauelezeki.
Mimi ni mwanamke mkuu na imani kuna siku nitakuja kuwa na watoto wengi tu kadri nitakavyojaaliwa.machozi yamenitoka baada ya kuvaa viatu vyako na vya Brianna kama sijakosea jina la mtoto wako kipenzi
 
Haya mambo uyasikie tu kwa mwenzio usiombe MUNGU yakakukuta aisee
Yanaumiza sana Mkuu. Huwa haisauliki kabisa. Mungu wetu ni Wa Rehema, hutuinua zaidi kwa namna anayojua yeye.

Hata hivyo, hatujawasiliana muda mrefu.
 
Yanaumiza sana Mkuu. Huwa haisauliki kabisa. Mungu wetu ni Wa Rehema, hutuinua zaidi kwa namna anayojua yeye.

Hata hivyo, hatujawasiliana muda mrefu.
Mpende sana sana Dada yako, MUNGU ni mwaminifu sana sana, mlango mmoja ukifungwa MUNGU anafungua Mlango mwingine
 
Aisee, kwa upendo huo mtu unashindwa hata kumuita Dada kwani moyo wako unahisi utamshushia hadhi yake! Hongera sana!!
 
Aisee, kwa upendo huo mtu unashindwa hata kumuita Dada kwani moyo wako unahisi utamshushia hadhi yake! Hongera sana!!
Ni hali ngumu sana Mkuu. Nimezoea kumuita mama. Alitangulia kuwa mama kabla hajawa dada.

Nimeshashindwa kabisa.
 
Back
Top Bottom