King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,631
Wadau wanasema kwa jinsi alivyo sasa Emma ,akikupa kichwa chake unaweza ukavua nguo na kutembea uchi wa mnyama.Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake, usiongee usichokijua.
Jamaa ana msongo wa mawazo yule, hauhitaji ujuzi mkubwa kumjua. Yaliyomkuta yashamwathiri, hebu acheni kuhukumu kama Miungu vile.
Kavae viatu vyake, ndiyo utajua uzito wa matatizo yake