LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,146
- 11,192
Dada yangu najua ni jinsi Gani ulivyoumia pale watu walivyokuwa wanakushambulia mitandaoni kwa maamuzi uliyochukua kwa kuolewa na mtu mwingine ambaye uliona ni sahihi kwako.
Kiukweli tokea umemkimbia kaka yetu Ema, Ni dhahiri yupo kama mtu aliyechanganyikiwa na sasa anaonyesha dhahiri tabia zake kuwa ni mbaya sasa amekuwa mtu wa kuropoka ropoka kule instagram.
Amekosa hekima, linalomjia ye anaropoka tu alafu anajiita baba mtumishi, inaonekana kipindi cha mahusiano ulimsitiri kwa mengi sana na ulikuwa ukimfunga speed governor na ndio maana alikuwa ni mtu mstaharabu na mkimya, lakini tokea uchukue uamuzi wa kumuacha kaka yetu amekuwa ni mtu asiyeeleweka, labda huenda anaanza kuchanganyikiwa taratibu.
Na kwa siyeamini aingie kwenye account yake ya instagram, kiukweli Ema amekosa hekima kwa sasa, mambo anayopost na maneno anayoandika hayafananii na cheo cha utumishi anachojipa,.
Kaka yangu bado mda unao rudi jiangalie na jirekebishe.
Kiukweli tokea umemkimbia kaka yetu Ema, Ni dhahiri yupo kama mtu aliyechanganyikiwa na sasa anaonyesha dhahiri tabia zake kuwa ni mbaya sasa amekuwa mtu wa kuropoka ropoka kule instagram.
Amekosa hekima, linalomjia ye anaropoka tu alafu anajiita baba mtumishi, inaonekana kipindi cha mahusiano ulimsitiri kwa mengi sana na ulikuwa ukimfunga speed governor na ndio maana alikuwa ni mtu mstaharabu na mkimya, lakini tokea uchukue uamuzi wa kumuacha kaka yetu amekuwa ni mtu asiyeeleweka, labda huenda anaanza kuchanganyikiwa taratibu.
Na kwa siyeamini aingie kwenye account yake ya instagram, kiukweli Ema amekosa hekima kwa sasa, mambo anayopost na maneno anayoandika hayafananii na cheo cha utumishi anachojipa,.
Kaka yangu bado mda unao rudi jiangalie na jirekebishe.