Ila na nyinyi huwa mnamatatizo yenu sugu.Wanawake tunavumilia mengi ndani ya ndoa.....
NdioIla na nyinyi huwa mnamatatizo yenu sugu.
Wanaume uvumilivu wenu ni wa muda flan mkichoka mnatafuta kiburudisho ila wanawake tunauwezo wa kuvumilia maisha yote ya ndoa, na ndoa ni mwanamke sio mwanaume ,mwanamke akichoka akisema basi jua hakuna ndoa hapo ila mwanaume ukichoka mwanamke akiwa bado anakupenda na anaipenda ndoa yake hata umfanyie nini hatoki!!!Wanaume tunavumilia yoote
Mwaka mpya huooo waja inabidi sasa usahau...Nakumbuka lile tatizo lako
Yeye ndio wa kwanza kwani??Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake, usiongee usichokijua.
Jamaa ana msongo wa mawazo yule, hauhitaji ujuzi mkubwa kumjua. Yaliyomkuta yashamwathiri, hebu acheni kuhukumu kama Miungu vile.
Kavae viatu vyake, ndiyo utajua uzito wa matatizo yake
Mwaka mpya huooo waja inabidi sasa usahau...
Ameacha alhamdullilah.Sasa hivi sio tatizo tena
Sema wanandoa wanavumiliana kwa mengi kwenye ndoaWanawake tunavumilia mengi ndani ya ndoa.....
Haijalishi ni wangapi ila hadi hapo kwa hayo maneno ushakiri ana matatizo. Hivi mtu mwenye tatizo anasaidiwa au anasakamwa kwa tatizo lakeYeye ndio wa kwanza kwani??