Not necessarily,It is just a probability;kama ambavyo unaweza kuoa ambae siyo ndugu yako-wewe ukawa na recessive deffective genes za trait flani nae akawa nazo mkacombine mkapata dominant deffect,pia kwenye kizazi chenu kunaweza kusiwe na genetic diseases zile za hatari-hapa namaanisha kama unataka kuchukua precaution ya genetic diseases basi isiishie kwenye kuoa au kuolewa na ndugu tu bali umakini ni hata kwa watu wa mbali,ndio mana mababu zetu zamani walikuwa wanafatilia hivi vitu prior to marriage(walikuwa wanaact kisayansi bila kujijua.)