DITOPILE WAPILI
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 386
- 265
Habari zenu wanajamvi,
Nimeleta issue yangu hapa mnisaidie kunishauri.
Dada yangu binamu, mtoto wa shangazi yangu, anataka nifunge nae ndoa, yaani tuwe Mr & Mrs.
Nimejaribu kumkwepa kwa kumuwekea mitego mbalimbali kumpima kama kweli anataka tuwe wapenzi, moja ya mtego huo nilimwambia kuna rafiki yake nampenda hivyo ajenae home ili nipate mteremko wa kuongea nae, basi binamu alinitukana, akalia sana mpaka akasusa kula na kuongea na mimi. Nilichoamua ili kumpooza nikamwambia nakutania tu. Ndio akarudi kwenye hali ya kawaida.
Ugumu unakuja kwenye kufikisha ujumbe kwa wazazi wake, namwambia aongee na baba yake kama anataka kuolewa na mimi, anaogopa sababu dingi yake mtata, halafu ndio mjanja wangu hapa mjini, amenisaidia kunisomesha hadi chuo kikuu na kunisaidia kupata kazi.
Yeye anachotaka tufanye nimpe ujauzito, halafu mambo mengine mbele kwa mbele.
Kwa jinsi anavyo nijali na kunipenda, mimi mwenyewe nimeingia line, yaani network inasoma full, madave dave.
Je! Nisawa kutebmea binamu yangu?
Vipi ikijulikana mimi ndio niliempa mimba?
Ipi njia sahihi kwangu kufikisha ujumbe kwa wazee?
Nimeleta issue yangu hapa mnisaidie kunishauri.
Dada yangu binamu, mtoto wa shangazi yangu, anataka nifunge nae ndoa, yaani tuwe Mr & Mrs.
Nimejaribu kumkwepa kwa kumuwekea mitego mbalimbali kumpima kama kweli anataka tuwe wapenzi, moja ya mtego huo nilimwambia kuna rafiki yake nampenda hivyo ajenae home ili nipate mteremko wa kuongea nae, basi binamu alinitukana, akalia sana mpaka akasusa kula na kuongea na mimi. Nilichoamua ili kumpooza nikamwambia nakutania tu. Ndio akarudi kwenye hali ya kawaida.
Ugumu unakuja kwenye kufikisha ujumbe kwa wazazi wake, namwambia aongee na baba yake kama anataka kuolewa na mimi, anaogopa sababu dingi yake mtata, halafu ndio mjanja wangu hapa mjini, amenisaidia kunisomesha hadi chuo kikuu na kunisaidia kupata kazi.
Yeye anachotaka tufanye nimpe ujauzito, halafu mambo mengine mbele kwa mbele.
Kwa jinsi anavyo nijali na kunipenda, mimi mwenyewe nimeingia line, yaani network inasoma full, madave dave.
Je! Nisawa kutebmea binamu yangu?
Vipi ikijulikana mimi ndio niliempa mimba?
Ipi njia sahihi kwangu kufikisha ujumbe kwa wazee?