Kiziwanda chema
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 289
- 478
Deleted
Shemeji yupo tayariWeka namba za dada yako, unaweza kupata shemeji kirahisi kabisa.
Haya, ufaidike wewe na nafsi yako, anamiaka 22.Hivi kuna mtu umri wake ni miaka 19 mpaka 25? Alafu tena dada yako hauji umri wake sahihi?
Sio vibaya hata ukisema ni wewe ndiye unaetafta kazi na sio kusingizia dada yakoHabarini
Husika na mada tajwa.
Dada yangu anatafuta kazi ya kufanya ya kujipatia ridhiki, iwe dukani, stationery, au nyingine yoyote halali ya kujipatia kipato halali.
Hachagui kazi Hata kazi za ndani yupo tayari endapo mtakubaliana.
Kwa sasa anapatikana Moshi mjini, umri ni kati ya miaka 19 hadi 25.
Kwa mawasiliano zaidi
Nipigie 0767775726
Nikupe taarifa zaidi
Uwe serious please.
Weka picha ya dada yako ili tujue isije kuwa unajipigia pandeHabarini
Husika na mada tajwa.
Dada yangu anatafuta kazi ya kufanya ya kujipatia ridhiki, iwe dukani, stationery, au nyingine yoyote halali ya kujipatia kipato halali.
Hachagui kazi Hata kazi za ndani yupo tayari endapo mtakubaliana.
Kwa sasa anapatikana Moshi mjini, umri ni kati ya miaka 19 hadi 25.
Kwa mawasiliano zaidi
Nipigie 0767775726
Nikupe taarifa zaidi
Uwe serious please.
Kama unania ya kumsaidia, unakaribishwa namba ipo hapo juu,Weka picha ya dada yako ili tujue isije kuwa unajipigia pande
Pia sio vibaya kama ukiwa na nia ya kumsaidia.Sio vibaya hata ukisema ni wewe ndiye unaetafta kazi na sio kusingizia dada yako
Mm kwel cjakuelew umri 19-25 nan mweny huo umri ni dadako au unataka huyo boss atakaye mwajir awe na huo umri?Habarini
Husika na mada tajwa.
Dada yangu anatafuta kazi ya kufanya ya kujipatia ridhiki, iwe dukani, stationery, au nyingine yoyote halali ya kujipatia kipato halali.
Hachagui kazi Hata kazi za ndani yupo tayari endapo mtakubaliana.
Kwa sasa anapatikana Moshi mjini, umri ni kati ya miaka 19 hadi 25.
Kwa mawasiliano zaidi
Nipigie 0767775726
Nikupe taarifa zaidi
Uwe serious please.
Kama ana shemej ,huyo shemej atakubali huyo dadako aje mikoani? Au ndo kla SAA anapiga SMU na kuchat?Shemeji yupo tayari
Weka picha tumalize biashara hapahapaHaya, ufaidike wewe na nafsi yako, anamiaka 22.
karibu tena
Dah mdau, niweke picha hapa kweli, kua serious bas,Weka picha tumalize biashara hapahapa
Mkuu ushampata huyo Kijana kama bado ni pm yupo Kijana wa kigoma.Mimi nna shida na kijana wa kiume awe na 18-20 kazi kubwa ni kubaki na nyumba usafi/kupika chakula hususan cha kwake mambo yote kwangu mshahara ni 50,000/= naitaji zaidi wa kutoka Iringa na mbeya,kusini siwaitaji.
Weka basi hata picha jombaaShemeji yupo tayari
Bado ila nimehaidiwa sehemu kama mbili hivi,huyo wako yupo hapa dar?au ndo zile habari za kuambiwa tuma naul?Mkuu ushampata huyo Kijana kama bado ni pm yupo Kijana wa kigoma.
Mkuu unahitaji msichana wa kazi au mke wa kuoa, kama mke sema nikutafutieWeka basi hata picha jombaa