Dada yangu anatafuta Kazi

Dada yangu anatafuta Kazi

Habarini

Husika
na mada tajwa.
Dada yangu anatafuta kazi ya kufanya ya kujipatia ridhiki, iwe dukani, stationery, au nyingine yoyote halali ya kujipatia kipato halali.
Hachagui kazi Hata kazi za ndani yupo tayari endapo mtakubaliana.
Kwa sasa anapatikana Moshi mjini, umri ni kati ya miaka 19 hadi 25.

Kwa mawasiliano zaidi
Nipigie 0767775726
Nikupe taarifa zaidi
Uwe serious please.
Sio vibaya hata ukisema ni wewe ndiye unaetafta kazi na sio kusingizia dada yako
 
Habarini

Husika
na mada tajwa.
Dada yangu anatafuta kazi ya kufanya ya kujipatia ridhiki, iwe dukani, stationery, au nyingine yoyote halali ya kujipatia kipato halali.
Hachagui kazi Hata kazi za ndani yupo tayari endapo mtakubaliana.
Kwa sasa anapatikana Moshi mjini, umri ni kati ya miaka 19 hadi 25.

Kwa mawasiliano zaidi
Nipigie 0767775726
Nikupe taarifa zaidi
Uwe serious please.
Weka picha ya dada yako ili tujue isije kuwa unajipigia pande
 
Habarini

Husika
na mada tajwa.
Dada yangu anatafuta kazi ya kufanya ya kujipatia ridhiki, iwe dukani, stationery, au nyingine yoyote halali ya kujipatia kipato halali.
Hachagui kazi Hata kazi za ndani yupo tayari endapo mtakubaliana.
Kwa sasa anapatikana Moshi mjini, umri ni kati ya miaka 19 hadi 25.

Kwa mawasiliano zaidi
Nipigie 0767775726
Nikupe taarifa zaidi
Uwe serious please.
Mm kwel cjakuelew umri 19-25 nan mweny huo umri ni dadako au unataka huyo boss atakaye mwajir awe na huo umri?
 
Mimi nna shida na kijana wa kiume awe na 18-20 kazi kubwa ni kubaki na nyumba usafi/kupika chakula hususan cha kwake mambo yote kwangu mshahara ni 50,000/= naitaji zaidi wa kutoka Iringa na mbeya,kusini siwaitaji.
 
Mimi nna shida na kijana wa kiume awe na 18-20 kazi kubwa ni kubaki na nyumba usafi/kupika chakula hususan cha kwake mambo yote kwangu mshahara ni 50,000/= naitaji zaidi wa kutoka Iringa na mbeya,kusini siwaitaji.
Mkuu ushampata huyo Kijana kama bado ni pm yupo Kijana wa kigoma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom