Njaa Mbaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 666
- 175
Aisee hata mimi sijawahi kupata wa kunitongoza nikimpata sitampuuza kabisa maana nitaona ana nia ya dhati
Wewe ni veteran wa kuchakachua.......kabla hajakuanza tayari umeshamtongoza....Wakati mwingine jifanye saint utatongozwa tu.
Habari za jioni wana jamvi. kwanza natanguliza samahan kama kutakua na watu nitakao wakwaza. msichana kama amempenda mvulana ruhsa kutiririka, hebu tiririkeni njia (mitego)mtakazo tumia, angalizo mpo mikoa tofauti. na je wavulana (wanaume) mnapenda mtokewe na mwanamke kwa jinsi gani?
Da utafikri uko moyoni mwangu.da i love the guy and i do rarely fall.Only that the family are very close and best fiend of my brother,he likes to call me like her sister but hapendi nikimpigia.a ngoja nisubiri miracle
Slaker huo ni Mtazamo wako sijawahi na sitakaa nifike huko in my life time
Hajiulizi kwa nini watu tunajiita mtakatifu .......Wewe ni veteran wa kuchakachua.......kabla hajakuanza tayari umeshamtongoza....Wakati mwingine jifanye saint utatongozwa tu.
Hahahahaaa!!!!!muulize kama ana facebook page
kama anayo unam add halafu kila ujinga atakao post
unaweka likes na ku comment kama ni jambo la maana saana lol
Jaribu njia hizi:
1. Ukikutana naye njiani hakikisha mnaposalimiana unamshika mkono na kuu-hold kwa muda mrefu kiasi. Hii isipopeleka ujumbe jaribu nyingine.
2. Kila unaposalimiana naye hakikisha unam-hug, hug la nguvu mpaka chuchu zako zinagusa kufua chake. Midume wengi ni wachovu sana linapokuja suala la chuchu. Hii lazima itapeleka ujumbe. Isipopeleka ujumbe jaribu;
3. Unamkonyeza kwa jicho la mhaba unaposalimiana naye. Na hii isipofanya kazi basi ujue umepigwa chini.
Mkuu platozoom kabla sijaanza kuchangia napenda kuunga mkono hoja yako asilimia 100. Tabu ya cc vidume bwana, demu ndiyo kwanza anakulia timing wewe umeshaanza ku-date lunch mara dinner yaani full mpapatiko. Matokeo yake demu anakuona kicheche mzoefu wa kuchunwa tu.Wewe ni veteran wa kuchakachua.......kabla hajakuanza tayari umeshamtongoza....Wakati mwingine jifanye saint utatongozwa tu.
Kama unaifahamu familia yake jaribu kuwa karibu na wazazi wa jamaa kuwasaidia kazi mbalimbali za nyumbani ipo siku wazazi wa jamaa kwa kuzoea watakuja kuwaacha wenyewe wawili tu hapo nyumbani, ikitokea hali kama hiyo maliza biashara kwa kumkalia mikao ya nataka sitaki lazima ujumbe utafika tu, asipokubali huyo kuku mtamu.Mmm! Hiyo no 2 ni ya kinadharia zaidi. Hivi inawezekana binti kwenda mbali hivyo? Labda wawe wamezoeana sana na jamaa. Hizo zingine, poa.
Habari za jioni wana jamvi. kwanza natanguliza samahan kama kutakua na watu nitakao wakwaza. msichana kama amempenda mvulana ruhsa kutiririka, hebu tiririkeni njia (mitego)mtakazo tumia, angalizo mpo mikoa tofauti. na je wavulana (wanaume) mnapenda mtokewe na mwanamke kwa jinsi gani?