Dada una sura nzurii.....



Sawa bwana @connor, siwezi ubishi na wewe!
 
Kasie huwa hatungi ni masimulizi ya matukio yaliyomtukia.
Picha nshaweka hapo juu na si kuwa Kasie ni mzuri au mrembo hapana bali naona yule afisa aliona labda sura yangu na umri haviendani.
Am not that cute, don't exaggerate Kasie is an old granny.
Hahaha sawa naona umeupdate aiseee
 
Unazeeka na utamu wako wallah , I am 25 yrs nw ..... ila kwa ulivo kisu nipo tayari tuzeeke pamoja.... kasie mcute
 
Sawa bwana @connor, siwezi ubishi na wewe!
Karibu tena, ila binafsi sikuwa nabishana nilikuwa 'nakurekebisha' maana nilivosoma reply yako tu nikajua huna lolote unalojua kuhusu Bondeni zaidi ya stori za kusimuliwa kama ilivo kwa mleta uzi.wena silima!!
 
Kasie umependeza mashallah
 
Karibu tena, ila binafsi sikuwa nabishana nilikuwa 'nakurekebisha' maana nilivosoma reply yako tu nikajua huna lolote unalojua kuhusu Bondeni zaidi ya stori za kusimuliwa kama ilivo kwa mleta uzi.wena silima!!
Bondeni ndio wapi mkuu huko Mabibo au?
 
Mbona kawaida tu.me mdada mzuri huwa namsifia tu
Shosti una tako hatare
Shosti una mguu
Shosti una mtindi
Shosti una fito
Shosti una lips
Shosti una macho.... Kawaida tu yaani
Ushawahi kumsifia mwanaume mwenye kibamia?
 
Kweli wewe.ni.mzuri maana umri wako ni mkubwa kuliko vita ya ug na tz
 
Tatizo lako limekuwa kubwa saiv kias umeshindwa kumuuliza aliyekuona unakuja kuuliza apa ambao hata hawakufaham..

Rudi ukamuulize aliyekuambia iyo mitaa..hapaitwi GAUTREN NI GAUTRAIN..Empty set!
The list the bichwa bange all the time
 
Unazeeka na utamu wako wallah , I am 25 yrs nw ..... ila kwa ulivo kisu nipo tayari tuzeeke pamoja.... kasie mcute

Hahahaa assnte rafiki, mwenzako nina allergy sana na umri, hivo nisamehe tuu ukubalianena hali halisi. Ntastaafu na wazee wenzangu.
 
Kwakweli si haba pamoja na kwamba umri umeenda bado unatafunika vizuri sana, lips zinaongea

Hahahaaa hapo nimezikoki na lipstick, nikitoa hiyo heheheee........ thanks for the compliments anyways.
 
Umri umeenda wapi wakati bado mchumba tu, kwa picha hiyo.
 
Mbona kawaida tu.me mdada mzuri huwa namsifia tu
Shosti una tako hatare
Shosti una mguu
Shosti una mtindi
Shosti una fito
Shosti una lips
Shosti una macho.... Kawaida tu yaani
Tushaambiws kuwa we ni shushushu, umefata namba na taarifa za watu humu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…