Dada una sura nzurii.....

Ngoja namimi nikusifie, maana ushasema angekuwa mkaka ungempa namba yako ya simu... We mdada unangozi nzuri, shingo ya kuvalia cheni, tabasam maashallah.. kweli Mungu kakuumba
 
Uwe makini na sifa kutoka kwa mwanamke mwenzako, wengine ni madume jike!
 


Pengine huyo dada ana matatizo yake tu binafsi, mi nakuona ni wa kawaida sana wala sioni uzuri wako.
 
Nataka nikiwa mkubwa niwe kama wewe, wewe ni mzuri shemeji anafaidi wallahi
 
Pengine huyo dada ana matatizo yake tu binafsi, mi nakuona ni wa kawaida sana wala sioni uzuri wako.
Acha bhana!
Mwanamke mtu mzima anaelekea kwenye 50' zake, kuwa na babyface namna hiyo ni majaaliwa yakhe.
Wengi wenye umri wake, sura zao zilikwishakuchuma kunde tayari.
Huyo anajitunza, anafanya mazoezi na hana matumizi mabaya ya mwili wake zaidi ya sex, diet na love kwa raha na afya.
Kwanini akongoroke!
Wenziyo zaidi ya wawili ukisikia wakisifia kwamba fulani ni mzuri,waunge mkono kwa kusema 'ndiyo afande', maana saazingine jicho lako laweza kuwa na husda, linakunyima ushirikiano kwa kuuona uzuri (urembo) wa huyo dada mtu mzima.
 
Kumbe ndiyo maana nasikia Wazaramo wakiona mnyamwezi hukosa pumzi na kuwa wapole ghafla sana.
Pamoja na pyepyepye na tantarila zao, lakini kwa Mnyamwezi ni kiboko chake na huwa anaufyata na kuwa mdogo kama tembe la pilton.
Sasa sielewi undani wa simulizi hii unatokana na mishepu ya Kinyamwezi, ana nini hasa!
Embu Kasie tupe hint kidogo kuhusu hilo.
 
Ngoja namimi nikusifie, maana ushasema angekuwa mkaka ungempa namba yako ya simu... We mdada unangozi nzuri, shingo ya kuvalia cheni, tabasam maashallah.. kweli Mungu kakuumba

Hahahahhaa looh usijali ntakutumia namba yangu.
 
Pengine huyo dada ana matatizo yake tu binafsi, mi nakuona ni wa kawaida sana wala sioni uzuri wako.

Uko sawa kabisa, macho yake si yako. Mke mwenyewe alinishangaza ila kwa kuwa wadada huwa tunasikia raha kusifiwa..... basi alinipa tabasamu mwanana usoni.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…