Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,560
Unachoona ujeuri pengine ni "tough love" tu.Unaonekana ni mshauri mzuri sana, ila tatizo lako jeuri, ushauri wako ni muhimu pia, tiririka tafadhali, unafikiri anahitaji mtaalam wa afya ya akili kati ya dada yetu na mume wake?
Hujawahi kukutana na mtu anakufanyia inda kwa sababu anakupenda?