Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
pole sana best.Mimi mzima my best ..nmetaka nkusalimie vizuri kule si nmekutana na
pole sana best.Mimi mzima my best ..nmetaka nkusalimie vizuri kule si nmekutana na
Haha atakuwa na kaugonjwa kitaalam kanaitwa 'Hypersexual disorder' anahitaji ushauriAisee huyo shemeji yako sio wa anga hii. Na hayo yake ni yale mahaba niue.
Ila yote kwa yote kama ni kweli huyo dada yako anahitaji washauri aisee sababu sio kwamba anamkomoa shemeji yako pekee bali na yeye pia anaidhohofisha afya yake kwa ngono za mara kwa mara tena na huku anao mmh.
Aiseee. Inabidi apate washauri aisee sababu unaweza sema sio hali ha kawaida hiyo.Haha atakuwa na kaugonjwa kitaalam kanaitwa 'Hypersexual disorder' anahitaji ushauri
Hako kaugonjwa ni kabaya anahitaji PsychologistAiseee. Inabidi apate washauri aisee sababu unaweza sema sio hali ha kawaida hiyo.
Hahahaha dogo umekula cha arusha nn? Uzi umeleta mwenyewe alafu unapanic tena. Jibu maswali kistaarabuNdio, ni wewe mwenyewe
Ingependeza zaidi kama familia nzima mgetafuta nasaha jamii kutoka kwa mtaalamu wa afya ya akili.Wewe unataka iweje?
Umekurupuka wewe unayeleta habari za kaka yako mliyemshindwa kwenu kwa umbea hapa JF.Umekurupuka sana pole
nimesharanduka nisamehe bure
Unaonekana ni mshauri mzuri sana, ila tatizo lako jeuri, ushauri wako ni muhimu pia, tiririka tafadhali, unafikiri anahitaji mtaalam wa afya ya akili kati ya dada yetu na mume wake?Ingependeza zaidi kama familia nzima mgetafuta nasaha jamii kutoka kwa mtaalamu wa afya ya akili.