Dada mmoja aliniuliza

Dada mmoja aliniuliza

Katika dunia ya sasa ukiona umeoa ama kuolewa na mwenzio hataki ujue nywila zake basi jua unaibiwa.

Na kama utakubaliana na hali basi jua kaburi linawaita kwani kwa dunia ya sasa iliyojaa magonjwa lukuki hamtapona kamwe.

Sasa nyie endeleeni kusapotiana huu uzwazwa wa kutojihusisha na nyendo za mwenzi wako.

 
Nimeipenda hii, nimei forward kwa wife fasta , kama namwona anavyoisoma huku kakunja ndita na hasira juu ya mwandishi(mleta mada)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna msemo sahihi unaosema MLAUMU MTU ILA USILAUMU JINSIA YAKE.

WAPO WENGI TUU. TUNAOWEZA KUAPA KWA VITABU VYA DINI.

Simu zinawekwa password kwa mambo mengi. Mle zipo dili za pesa ndefu, wizi, uuaji nk. Tatizo wanawake wanafikiria kuchepuka tuuuuuu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom