wakati wa harusi mnawaambia karibu kwenye familia yetu...ooh tumeongeza mtoto mwingine wa kiume au sijui wa kike na kujitia mnawapenda ....
baadaye oooh anaingilia mambo ya familia..?
ukiona hivyo hayo mambo yanauhusisha mali ndio maana mnajitia eti si mwanafamilia!
kweli binadamu ni kiumbe mzito, habebeki hata kwa winchi.