Dada kuingilia mambo ya familia kwa wanaume na kaolewa, je asikilizwe?

kidome

Member
Jan 5, 2014
80
40
inaonekana Dada anashauriana na make wake mambo ya familia halaf anakuja kutoa ushaur ambao kimsingi unaonekana umetokea kwa Mme wake.ivi wadau jambo hill nyie mnalionaje??
 
Ushauri kama ni mzuri muupokee ila kama ni mashudu basi mwambie apambane na hali yake yeye na mumewe.
Lakini mambo ya familia yabakie kuwa ya familia. Asimshirikishe sana mumewe!
 
wakati wa harusi mnawaambia karibu kwenye familia yetu...ooh tumeongeza mtoto mwingine wa kiume au sijui wa kike na kujitia mnawapenda ....
baadaye oooh anaingilia mambo ya familia..?
ukiona hivyo hayo mambo yanauhusisha mali ndio maana mnajitia eti si mwanafamilia!

kweli binadamu ni kiumbe mzito, habebeki hata kwa winchi.
 
Kama wazo alilotoa ni zuri sio vibaya kulifanyia kazi,au niulize kwani tatizo kitu gani?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
wakati wa harusi mnawaambia karibu kwenye familia yetu...ooh tumeongeza mtoto mwingine wa kiume au sijui wa kike na kujitia mnawapenda ....
baadaye oooh anaingilia mambo ya familia..?
ukiona hivyo hayo mambo yanauhusisha mali ndio maana mnajitia eti si mwanafamilia!

kweli binadamu ni kiumbe mzito, habebeki hata kwa winchi.
Karibu tena!!!
 
inaonekana Dada anashauriana na make wake mambo ya familia halaf anakuja kutoa ushaur ambao kimsingi unaonekana umetokea kwa Mme wake.ivi wadau jambo hill nyie mnalionaje??


hahaha!!,
inaonekana unakitu kinaitwa prejudice,,,,unaamini
kwa lolote litokalo kwa dada ni baya,,,,,
ruhusu ubongo ufanye kazi,,,
inawazekana,,
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom