Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,086
Nina mashaka na msimamo wako kwa huyo e wako,haiwezekani katika ulimwengu huu wa teknologia ukasumbuliwa katika sms na wewe ushindwe kufanya lolote.
Pia mwanaume kamili hutafuta njia za kumaliza tatizo bila kushirikisha upande wa pili,hivi wewe kutaka kwenda kwa mwanaume mwenzio kumwambia mkewe anakusumbua ni akili au matope?
Tuseme mtu akiwa anamtaka huyo mkeo mtarajiwa aje kwako akwambie anamtaka mkeo sio!Kma unamtaka kuwa wazi maana wanaume wengine huwa hatuonji mara moja na kila mwanamke huwa na kitu ambacho sisi wanaume huwa tukikumbuka basi hatuachi kukumbushia,kwa hiyo kama kweli humhitaji basi kata mawasiliano haraka.
Pia mwanaume kamili hutafuta njia za kumaliza tatizo bila kushirikisha upande wa pili,hivi wewe kutaka kwenda kwa mwanaume mwenzio kumwambia mkewe anakusumbua ni akili au matope?
Tuseme mtu akiwa anamtaka huyo mkeo mtarajiwa aje kwako akwambie anamtaka mkeo sio!Kma unamtaka kuwa wazi maana wanaume wengine huwa hatuonji mara moja na kila mwanamke huwa na kitu ambacho sisi wanaume huwa tukikumbuka basi hatuachi kukumbushia,kwa hiyo kama kweli humhitaji basi kata mawasiliano haraka.