Muache mchumbanguVitu vidogo sana hivyo ata mwinjaku angeweza kufanya hicho tena zaidi yake, hakuna kipya apo bimdada anavyopenda attention anaweza akajisifu kweli kuwa ni kichwa kumbe empty tu
Na ni kwelii itaonekana hivo.Huo mkataba upo mezani kwa Yanga pia,babra kaona Yanga wamekodisha ndege ya atcl kwenda nayo nigeria ndio kafosi watangaze haraka wa mikia ili ionekane hapo baadae Yanga kawaiga mikia
Mbona unateseka?Tukutume weye ujaze mkataba.😝😝😝😝Vitu vidogo sana hivyo ata mwinjaku angeweza kufanya hicho tena zaidi yake, hakuna kipya apo bimdada anavyopenda attention anaweza akajisifu kweli kuwa ni kichwa kumbe empty tu
Empty kwenye nini labda, unaonekana una wivu sana broVitu vidogo sana hivyo ata mwinjaku angeweza kufanya hicho tena zaidi yake, hakuna kipya apo bimdada anavyopenda attention anaweza akajisifu kweli kuwa ni kichwa kumbe empty tu
Yanga hii iliyokuwa inaomba msaada kwa wananchi waichangie ili ikodie ndege ili Hali wanajua mashabiki hawataingia uwanjani. Hiyo timu mbovu hata Azam anajuta kuingia nao mkataba,timu inaishia kucheza ligi ya ndani tuHuo mkataba upo mezani kwa Yanga pia,babra kaona Yanga wamekodisha ndege ya atcl kwenda nayo nigeria ndio kafosi watangaze haraka wa mikia ili ionekane hapo baadae Yanga kawaiga mikia
Azam wale ni wapinzani wa MO products kwahiyo lazima wafanye kila liwezalo (AZAM THE BIGGEST COMPETITOR NI METL (MO)) kwahiyo lazima wafanye kila figisu figusi kuhakikisha wana waangusha wa WAPINZANI wao ambao ni threat kwao .huoni HAJI kapewa brand new Land cruise prado na ndio chawa wao mkubwa.Yanga hii iliyokuwa inaomba msaada kwa wananchi waichangie ili ikodie ndege ili Hali wanajua mashabiki hawataingia uwanjani. Hiyo timu mbovu hata Azam anajuta kuingia nao mkataba,timu inaishia kucheza ligi ya ndani tu
Huo mkataba upo mezani kwa Yanga pia,babra kaona Yanga wamekodisha ndege ya atcl kwenda nayo nigeria ndio kafosi watangaze haraka wa mikia ili ionekane hapo baadae Yanga kawaiga mikia
Punguza jazbaVitu vidogo sana hivyo ata mwinjaku angeweza kufanya hicho tena zaidi yake, hakuna kipya apo bimdada anavyopenda attention anaweza akajisifu kweli kuwa ni kichwa kumbe empty tu
Umeupga mwingidah kwa hiyo Barba anaizidi Nguvu serikali kupitia ATCL kuwalazimisha watangaze tena ofcn kwa ATCL
na nimemsikia CEO wa ATCL kasema
vilabu vingine vinakaribishwa kuleta proposal kama Yanga wangekuwa kwenye mazungumzo kusingekuwa na cha kuficha maana sio dhambi..
hata CEO wa ATCL kasema anawaahukueu simba kwa uvumilivu toka Mwez wa Nne walikuwa wameanza mazungumzo leo mwez wa tisa .. sasa Yanga kasafiri mara ngapi toka mwez wa nne kwa nn asingelazimisha kipind hicho
anyway Mi naona hata club zote zikiingia mkataba wa namna hiyo ni sawa.. sababu ukiangalia huo mkataba faida kwa club ni kupunguza gharama sio kwamba ATCL atampa simba pesa ila Simba gharama zao za Safari zitapungua kutokana na tiket za bure na tiket za discount
kama walikuwa wanatumia 100m average kwa safar moja basi wanaweza wakajikuta wamepunguza hadi 70m kwa safar na wakipata milage kwenye vipeperushi vya ATCL na matangazo yake
huku ATCL nao wakipata Milage kwenye vipeperushi vya Simba na matangazo yake na pia wakijihakikishia wateja wakudumu kwa
miaka miwili..
🤣🤣🤣🤣 bimdada anapambana kweli kutaka kujilinganisha na gwiji senzo mbatha lakini anajikuta amepigwa knok out mbaya sanaHuo mkataba upo mezani kwa Yanga pia,babra kaona Yanga wamekodisha ndege ya atcl kwenda nayo nigeria ndio kafosi watangaze haraka wa mikia ili ionekane hapo baadae Yanga kawaiga mikia
Wewe yanga uwa awakurupuki kuingia mikataba lazima waupitie vya kutosha ndo wausaini ata Kama upo mezani kwao, kuna klabu moja ilikurupuka ikasaini mkataba wa haki za matangazo ya tv inapewa 350 kwa mwaka🤣🤣🤣🤣 yanga ilishatoka uko chini ya CEO mwenye vyeti origino senzo mbatha, kwaiyo msije mkashangaa mkataba wa yanga unakuwa tofauti kabisa na wa dada yet u🤣🤣🤣🤣dah kwa hiyo Barba anaizidi Nguvu serikali kupitia ATCL kuwalazimisha watangaze tena ofcn kwa ATCL
na nimemsikia CEO wa ATCL kasema
vilabu vingine vinakaribishwa kuleta proposal kama Yanga wangekuwa kwenye mazungumzo kusingekuwa na cha kuficha maana sio dhambi..
hata CEO wa ATCL kasema anawaahukueu simba kwa uvumilivu toka Mwez wa Nne walikuwa wameanza mazungumzo leo mwez wa tisa .. sasa Yanga kasafiri mara ngapi toka mwez wa nne kwa nn asingelazimisha kipind hicho
anyway Mi naona hata club zote zikiingia mkataba wa namna hiyo ni sawa.. sababu ukiangalia huo mkataba faida kwa club ni kupunguza gharama sio kwamba ATCL atampa simba pesa ila Simba gharama zao za Safari zitapungua kutokana na tiket za bure na tiket za discount
kama walikuwa wanatumia 100m average kwa safar moja basi wanaweza wakajikuta wamepunguza hadi 70m kwa safar na wakipata milage kwenye vipeperushi vya ATCL na matangazo yake
huku ATCL nao wakipata Milage kwenye vipeperushi vya Simba na matangazo yake na pia wakijihakikishia wateja wakudumu kwa
miaka miwili..
haya chief ngoja tusubir hayo yanayokuja ... Sio mbaya ukiwa mkataba bora zaid ya huu... Maana yake Basi Simba na wengine watajifunzaWewe yanga uwa awakurupuki kuingia mikataba lazima waupitie vya kutosha ndo wausaini ata Kama upo mezani kwao, kuna klabu moja ilikurupuka ikasaini mkataba wa haki za matangazo ya tv inapewa 350 kwa mwaka yanga ilishatoka uko chini ya CEO mwenye vyeti origino senzo mbatha, kwaiyo msije mkashangaa mkataba wa yanga unakuwa tofauti kabisa na wa dada yet u
Manara hii kapost juzi jana mikia mmetangaza mkutano fasta tena,dah kwa hiyo Barba anaizidi Nguvu serikali kupitia ATCL kuwalazimisha watangaze tena ofcn kwa ATCL
na nimemsikia CEO wa ATCL kasema
vilabu vingine vinakaribishwa kuleta proposal kama Yanga wangekuwa kwenye mazungumzo kusingekuwa na cha kuficha maana sio dhambi..
hata CEO wa ATCL kasema anawaahukueu simba kwa uvumilivu toka Mwez wa Nne walikuwa wameanza mazungumzo leo mwez wa tisa .. sasa Yanga kasafiri mara ngapi toka mwez wa nne kwa nn asingelazimisha kipind hicho
anyway Mi naona hata club zote zikiingia mkataba wa namna hiyo ni sawa.. sababu ukiangalia huo mkataba faida kwa club ni kupunguza gharama sio kwamba ATCL atampa simba pesa ila Simba gharama zao za Safari zitapungua kutokana na tiket za bure na tiket za discount
kama walikuwa wanatumia 100m average kwa safar moja basi wanaweza wakajikuta wamepunguza hadi 70m kwa safar na wakipata milage kwenye vipeperushi vya ATCL na matangazo yake
huku ATCL nao wakipata Milage kwenye vipeperushi vya Simba na matangazo yake na pia wakijihakikishia wateja wakudumu kwa
miaka miwili..
Wewe yanga uwa awakurupuki kuingia mikataba lazima waupitie vya kutosha ndo wausaini ata Kama upo mezani kwao, kuna klabu moja ilikurupuka ikasaini mkataba wa haki za matangazo ya tv inapewa 350 kwa mwaka yanga ilishatoka uko chini ya CEO mwenye vyeti origino senzo mbatha, kwaiyo msije mkashangaa mkataba wa yanga unakuwa tofauti kabisa na wa dada yet u