Kitoto cha Kizanzibar kinapigania haki yake ya Kikatiba ya kusuguliwa Tanganyika Tena na Mtanganyika mkaazi halafu wanatokea kina Seif Sharif wanajifanya Eti Wazanzibar hawajafaidika na Muungano!
Hata mimi nimewaza hivyo, inawezeka wamepanga hiyo issue ili kufanya promo ya meli kwani binti anaonekana ni mtaalamu sana wa kuogelea hata pumzi anayo ya kutosha kwa hiyo hapo wenye meli kwanza wamejenga jina kwamba wanajali abiria wao pili wanavifaa vya kutosha kwa uokozi tatu wanawataalamu wa kuvitumia hivyo vifaa na nne wanauwezo wa kutoa huduma ya kwanza kwa haraka
kwa hiyo inawezekana huyo binti ana mafunzo mazuri ya kutosha na atakuwa amelipwa hela nzuri tu kwa hilo tukio kwani ni la kijasiri sana.
kama ndivyo basi wamefanikiwa sana hongera kwa waliondaa hilo tukio
Kitoto cha Kizanzibar kinapigania haki yake ya Kikatiba ya kusuguliwa Tanganyika Tena na Mtanganyika mkaazi halafu wanatokea kina Seif Sharif wanajifanya Eti Wazanzibar hawajafaidika na Muungano!
Suala la Husna limekugusa? Muache dada wa watu apumzikeAhsante kwa kuweka hio video, nadhani wale wanao shabikia husna huko oman kasukumwa wataelewa udhaifu wa wanawake, hii ndio kazi yao
Ingekuwa oman basi muarabu kamsukuma
Huyo mwanamke ameokolewa kutoka baharini baada ya kujitupa kutoka kwenye boat leo wakati wakitokea Dar kuja Zanzibar. Tukio hilo limetokea maeneo ya Chumbe. Bado haijafahamika lengo na dada huyo kujitupa kwake kulikua na lengo.
Alikuwa akisafiri na boti ya Azam Marine Kilimanjaro V toka Dar kwenda Unguja ameopolewa baada ya kujirusha baharini. Taarifa za awali zinadai kuwa, hakutaka kurejeshwa nyumbani kwao Unguja. Mjomba wake alikuja kumchukua Dar ili kumrejesha Unguja
======
Taarifa Kutoka Kampuni Ya Azam Marine And Kilimanjaro Fast Ferries:
Kwa taarifa tu, abiria huyo alijitosa majini kutoka kwenye chombo chetu cha KILIMANJARO 5 maeneo ya Chumbe na taarifa zilipofika kwa Captain wetu, chombo kilipunguza speed na kurudi kwa ajili ya uokozi. Tulifanikiwa kumuokoa abiria huyo akiwa mzima na tumemkabidhisha kwa vyombo husika tulipofika bandarini Zanzibar.
Bahari inatisha, unaweza kuhisi wapo kwenye swimming pool kumbe ni kina kirefu sana.
Hivi hujaachaga uchoko?Itakuwa mambo ya ajira za magufuli
Huyo mwanamke ameokolewa kutoka baharini baada ya kujitupa kutoka kwenye boat leo wakati wakitokea Dar kuja Zanzibar. Tukio hilo limetokea maeneo ya Chumbe. Bado haijafahamika lengo na dada huyo kujitupa kwake kulikua na lengo.
Alikuwa akisafiri na boti ya Azam Marine Kilimanjaro V toka Dar kwenda Unguja ameopolewa baada ya kujirusha baharini. Taarifa za awali zinadai kuwa, hakutaka kurejeshwa nyumbani kwao Unguja. Mjomba wake alikuja kumchukua Dar ili kumrejesha Unguja
======
Taarifa Kutoka Kampuni Ya Azam Marine And Kilimanjaro Fast Ferries:
Kwa taarifa tu, abiria huyo alijitosa majini kutoka kwenye chombo chetu cha KILIMANJARO 5 maeneo ya Chumbe na taarifa zilipofika kwa Captain wetu, chombo kilipunguza speed na kurudi kwa ajili ya uokozi. Tulifanikiwa kumuokoa abiria huyo akiwa mzima na tumemkabidhisha kwa vyombo husika tulipofika bandarini Zanzibar.
Angejitupa pale msasani angeipata fresh mawimbi ya pale chombo kisingeweza kusimama kwa haraka...maiti ingepatikana ununio j3 samaki wameshakula macho na sidiria yote
Wangemuacha tuu afe jamani kila mtu na maamuzi yake
Binti bomba sana macho yake, lips zake, nyusi zake na ngozi yake nyororo mashallahu!
Huyo msichana namfahamu
Anasoma green rose kidato cha tatu ,chanzo cha yeye kujitosa baharini ni kitendo cha kutaka kurudishwa kwao Zanzibar kwa kuwa alitoroka na kwenda dar kwa mpenzi wake
Kitoto cha Kizanzibar kinapigania haki yake ya Kikatiba ya kusuguliwa Tanganyika Tena na Mtanganyika mkaazi halafu wanatokea kina Seif Sharif wanajifanya Eti Wazanzibar hawajafaidika na Muungano!