Daah kumbe mashemeji ndo walinikataa

Daah kumbe mashemeji ndo walinikataa

Niende moja kwa moja kwenye mada nasjisikia uchungu sana ingawa yalishapita.

Ipo hivi mwaka huu tarehe 26 january nilikutana na demu mmoja mkali sana anasoma IFM mimi nilikutana nae jengo la IT plaza , ila sasa hivi kashamaliza juzi chuo , alionyesha kunichangamkia basi na mimi nikajiongeza nikamuomba namba nikapewa bila shida kabisa.

Tukawa tunachati tuu fresh kabisa nikamwambia jambo langu kua nampenda akanikubalia basi banq mwezi wa 3 mwaka huu tukawa wapenzi Rasmi.

Mwezi wa 5 mwaka huu akaja geto nikaaa nae almost siku 5 badae akaondoka sikuona dalili za usailiti kabisa nikaendelea kunpenda mwezi wa sita akaniambia niende posta nikamsalimie kidume nikaenda na zawadi zangu demu akanipoke tuu vizuri.

Kumbe mimi sikushtuka alikua na wenzake na walikua wamejibana mahali mimi niko na demu baadae nikataka kuondoka demu akaniambia nikawasalimia marafiki zake nikaenda nikawasalimia nikawanunulia na wine na chakula hyo nikasepa na demu akanisindikiza nika reqest bolt nikasepa.

Siku 3 mbele nikaaanza kuona mabadiliko nikawa nakausha tuu from no where demu akaniambia tuachane nikamuambia kwa nn akaniambia nimeamua basi nikamuambia nimekubaliana na maamuzi yako penzi likafa rasmi..

Tokea mwezi wa sita demu akaanza kunitafuta mwezi huuwa kwamba eti turudiane anaomba msamaha anadai marafiki zake walimuambia siendani nae eti na blaha blah nyingi ila yeye ananipenda hapa ndo sijui nimjibu nini wakuu.

Nifanyeje wakuu demu ni mzuri haswa na mm bado nampenda ila tatizo nina mahusiano mengine.
Waulize marafiki zako.
 
Kama tayari uko na mwingine bora ubakie naye achana na huyo ambaye hana msimamo.
 
Kwamba marafiki zake ndo wanaamua hatma ya maisha yake, tena kwenye relationship huo ni ujingaaaa
Hahha, umeona eeeh?
Na hashindwi kuwaskiza mashosti tena in the near future...hana maamuzi na mambo yake kabisa.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada nasjisikia uchungu sana ingawa yalishapita.

Ipo hivi mwaka huu tarehe 26 january nilikutana na demu mmoja mkali sana anasoma IFM mimi nilikutana nae jengo la IT plaza , ila sasa hivi kashamaliza juzi chuo , alionyesha kunichangamkia basi na mimi nikajiongeza nikamuomba namba nikapewa bila shida kabisa.

Tukawa tunachati tuu fresh kabisa nikamwambia jambo langu kua nampenda akanikubalia basi banq mwezi wa 3 mwaka huu tukawa wapenzi Rasmi.

Mwezi wa 5 mwaka huu akaja geto nikaaa nae almost siku 5 badae akaondoka sikuona dalili za usailiti kabisa nikaendelea kunpenda mwezi wa sita akaniambia niende posta nikamsalimie kidume nikaenda na zawadi zangu demu akanipoke tuu vizuri.

Kumbe mimi sikushtuka alikua na wenzake na walikua wamejibana mahali mimi niko na demu baadae nikataka kuondoka demu akaniambia nikawasalimia marafiki zake nikaenda nikawasalimia nikawanunulia na wine na chakula hyo nikasepa na demu akanisindikiza nika reqest bolt nikasepa.

Siku 3 mbele nikaaanza kuona mabadiliko nikawa nakausha tuu from no where demu akaniambia tuachane nikamuambia kwa nn akaniambia nimeamua basi nikamuambia nimekubaliana na maamuzi yako penzi likafa rasmi..

Tokea mwezi wa sita demu akaanza kunitafuta mwezi huuwa kwamba eti turudiane anaomba msamaha anadai marafiki zake walimuambia siendani nae eti na blaha blah nyingi ila yeye ananipenda hapa ndo sijui nimjibu nini wakuu.

Nifanyeje wakuu demu ni mzuri haswa na mm bado nampenda ila tatizo nina mahusiano mengine.
Mkuu acha kuudhalilisha uanaume. Hili sio Jambo la kuomba ushauri. Mwanamke kama hathamini Upendo wako kwake hata awe mzuri kiasi gani hamishia Upendo wako kwa anayejua Thamani ya kupendwa.
Ndugu wanaume wenzangu uanaume ni pamoja na kuwa na msimamo sahihi usioyumbishwa!
 
Utakuwa umekaa kishambashamba
Kuvaa hujui
Badilika msukuumer wewe
Na watakukimbia wengi🤣🤣
 
Niende moja kwa moja kwenye mada nasjisikia uchungu sana ingawa yalishapita.

Ipo hivi mwaka huu tarehe 26 january nilikutana na demu mmoja mkali sana anasoma IFM mimi nilikutana nae jengo la IT plaza , ila sasa hivi kashamaliza juzi chuo , alionyesha kunichangamkia basi na mimi nikajiongeza nikamuomba namba nikapewa bila shida kabisa.

Tukawa tunachati tuu fresh kabisa nikamwambia jambo langu kua nampenda akanikubalia basi banq mwezi wa 3 mwaka huu tukawa wapenzi Rasmi.

Mwezi wa 5 mwaka huu akaja geto nikaaa nae almost siku 5 badae akaondoka sikuona dalili za usailiti kabisa nikaendelea kunpenda mwezi wa sita akaniambia niende posta nikamsalimie kidume nikaenda na zawadi zangu demu akanipoke tuu vizuri.

Kumbe mimi sikushtuka alikua na wenzake na walikua wamejibana mahali mimi niko na demu baadae nikataka kuondoka demu akaniambia nikawasalimia marafiki zake nikaenda nikawasalimia nikawanunulia na wine na chakula hyo nikasepa na demu akanisindikiza nika reqest bolt nikasepa.

Siku 3 mbele nikaaanza kuona mabadiliko nikawa nakausha tuu from no where demu akaniambia tuachane nikamuambia kwa nn akaniambia nimeamua basi nikamuambia nimekubaliana na maamuzi yako penzi likafa rasmi..

Tokea mwezi wa sita demu akaanza kunitafuta mwezi huuwa kwamba eti turudiane anaomba msamaha anadai marafiki zake walimuambia siendani nae eti na blaha blah nyingi ila yeye ananipenda hapa ndo sijui nimjibu nini wakuu.

Nifanyeje wakuu demu ni mzuri haswa na mm bado nampenda ila tatizo nina mahusiano mengine.
Mwambie unaogopa atakugeuka siku ya harusi utafedheka hadharani.

Akaolewe na waliomshauri akuache.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Niende moja kwa moja kwenye mada nasjisikia uchungu sana ingawa yalishapita.

Ipo hivi mwaka huu tarehe 26 january nilikutana na demu mmoja mkali sana anasoma IFM mimi nilikutana nae jengo la IT plaza , ila sasa hivi kashamaliza juzi chuo , alionyesha kunichangamkia basi na mimi nikajiongeza nikamuomba namba nikapewa bila shida kabisa.

Tukawa tunachati tuu fresh kabisa nikamwambia jambo langu kua nampenda akanikubalia basi banq mwezi wa 3 mwaka huu tukawa wapenzi Rasmi.

Mwezi wa 5 mwaka huu akaja geto nikaaa nae almost siku 5 badae akaondoka sikuona dalili za usailiti kabisa nikaendelea kunpenda mwezi wa sita akaniambia niende posta nikamsalimie kidume nikaenda na zawadi zangu demu akanipoke tuu vizuri.

Kumbe mimi sikushtuka alikua na wenzake na walikua wamejibana mahali mimi niko na demu baadae nikataka kuondoka demu akaniambia nikawasalimia marafiki zake nikaenda nikawasalimia nikawanunulia na wine na chakula hyo nikasepa na demu akanisindikiza nika reqest bolt nikasepa.

Siku 3 mbele nikaaanza kuona mabadiliko nikawa nakausha tuu from no where demu akaniambia tuachane nikamuambia kwa nn akaniambia nimeamua basi nikamuambia nimekubaliana na maamuzi yako penzi likafa rasmi..

Tokea mwezi wa sita demu akaanza kunitafuta mwezi huuwa kwamba eti turudiane anaomba msamaha anadai marafiki zake walimuambia siendani nae eti na blaha blah nyingi ila yeye ananipenda hapa ndo sijui nimjibu nini wakuu.

Nifanyeje wakuu demu ni mzuri haswa na mm bado nampenda ila tatizo nina mahusiano mengine.
Endelea kula kimasihara


NB: usiache mbachao kwa msala upitao
 
Na kushauri Kwa akili yako uliyonayo embu achana kabisa na mambo ya mapenzi kwanza,,,jikite zaidi kufanya mambo mengine ya msingi.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada nasjisikia uchungu sana ingawa yalishapita.

Ipo hivi mwaka huu tarehe 26 january nilikutana na demu mmoja mkali sana anasoma IFM mimi nilikutana nae jengo la IT plaza , ila sasa hivi kashamaliza juzi chuo , alionyesha kunichangamkia basi na mimi nikajiongeza nikamuomba namba nikapewa bila shida kabisa.

Tukawa tunachati tuu fresh kabisa nikamwambia jambo langu kua nampenda akanikubalia basi banq mwezi wa 3 mwaka huu tukawa wapenzi Rasmi.

Mwezi wa 5 mwaka huu akaja geto nikaaa nae almost siku 5 badae akaondoka sikuona dalili za usailiti kabisa nikaendelea kunpenda mwezi wa sita akaniambia niende posta nikamsalimie kidume nikaenda na zawadi zangu demu akanipoke tuu vizuri.

Kumbe mimi sikushtuka alikua na wenzake na walikua wamejibana mahali mimi niko na demu baadae nikataka kuondoka demu akaniambia nikawasalimia marafiki zake nikaenda nikawasalimia nikawanunulia na wine na chakula hyo nikasepa na demu akanisindikiza nika reqest bolt nikasepa.

Siku 3 mbele nikaaanza kuona mabadiliko nikawa nakausha tuu from no where demu akaniambia tuachane nikamuambia kwa nn akaniambia nimeamua basi nikamuambia nimekubaliana na maamuzi yako penzi likafa rasmi..

Tokea mwezi wa sita demu akaanza kunitafuta mwezi huuwa kwamba eti turudiane anaomba msamaha anadai marafiki zake walimuambia siendani nae eti na blaha blah nyingi ila yeye ananipenda hapa ndo sijui nimjibu nini wakuu.

Nifanyeje wakuu demu ni mzuri haswa na mm bado nampenda ila tatizo nina mahusiano mengine.
Akili YAKO ndoo mtaji wako...... Kwa ambae unaona anakufaa kaa nae ndani

Usikimbilie kigezo ni mzuri "Vina muda basi" angalia status inayosoma wife material..
 
Na kushauri Kwa akili yako uliyonayo embu achana kabisa na mambo ya mapenzi kwanza,,,jikite zaidi kufanya mambo mengine ya msingi.
Vijana wanaweza kweli?
Hii kichwa ya chini ikipiga push up tayari mipango yote inavurugika anawaza kuteleza kwenye pango tu sio mambo ya msingi.
 
Vijana wanaweza kweli?
Hii kichwa ya chini ikipiga push up tayari mipango yote inavurugika anawaza kuteleza kwenye pango tu sio mambo ya msingi.
Inabidi afanye juhudi aachane na mambo ya kurikwesti aba!!
 
Inabidi afanye juhudi aachane na mambo ya kurikwesti aba!!
Kichwa yake yenyewe haina msimamo kama angekuwa anajielewa angekuja bhas kuhitimisha aliyofanyiwa na uamuzi aliyochukua

Hitimisho la uzi wake anamsifia huyo mwanamke "uzuri" na bado anampenda.
Tuendelee kuwa maskini kiuchumi,fikra na maamuzi.
 
Hizo ni dalili za mtu:-
asiyekuwa na akili ya kufanya maamuzi;
kigeugeu;
asiyejitambua;
asiyejiamini ..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom