Mithali 4:13 Inasema mshike sana elimu usimuache aende zake maana huo ndo uzima wako.
Ni kweli kwa sasa changamoto ya ajira ipo ila ukweli nawaambieni Kuna utofauti kati ya aliyesoma na ambae hajasoma. Mfano Kuna siku Home Feni ilikuwa haifanyi kazi nikapigiwa simu na mimi sio fundi na sina knowledge ya ufundi.
Kwa vile chuo nilijifunza kwamba youtube Kuna kila Aina ya tutorial basi nikachecki solution yake nikawapigia simu nikawaambia wachukue fimbo yoyote wazungushe hio feni manually, baadae ikaanza kufanya kazi.
Kusoma ni kuwa na uwezo wa kumaster mazingira yako ajira ni extra tu.