Daah Ajira ngumu aisee!

Kweli ajira ni ngumu sana siku hizi, lakini pia vipi kuhusu hizi lugha za "Mavimavi" huwa unazitumia wakati wa usaili??
 
mmmh kaka mbona kama story vile??? halafu inaonekana unajiamini kupitiliza na umejawa na hasira napata ugumu kukuamini...
 
Dogo pole sana jaribu kuomba kazi shule za kata ninajua una uwezo wa kufundisha Commerce na Accounting vizuri.
 
Pole sana mkuu,sasa hebu jaribu hii ya pccb ilotangazwa leo,Muombe Mungu na uamini kwa cfa na vigezo ulivyonavyo utaipata,ukikwama popote ni email kwa msaada wa maelekezo ya namna ya kuomba na nn kinatakiwa,
 
Dah! Wadau pole sana ndugu kwa yalokukuta huo mcba ni wa vjana wote tatizo mwenye nacho ndo anaongezewa asienacho hapat kabisa ila usikate tamaa ipo siku utayashinda tu mungu akuongoze katika hilo
 



kaka bopa hata uitwe mimi tangu 2010 nimitwa mara moja ila naamini mungu ipo siku
 
Mungu ni mwema ikifika cku nac tutapata tu
MVUMILIVU HULA MBIVU.
 
lakini sasa mimi huwa najiuliza hivi waizara ya kazi inafanya kazi gani coz mm sioni wanacho kifanya kweli kweli kwa sabaabu wanashindwa kujibu ajira mpya kulingana na wahitimu mbalimbali.coz kila mara wanapangiwa bajeti je hiyo bajeti wanayo pangiwa inaenda wapi
 
kuhusu pale TRA...tulikua zaidi ya watu 3000....waliochaguliwa ni wachache sana hawakufika hata mia. Mimi sikufanikiwa.
 
Pole sana kb52 kila jambo lina wakati wake. Tusichoke kumuomba Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Duuuh nguvu zote zimeniisha walosoma tu ndo ivi sie wa shule za kata si ndo majanga jamani uwiii...
 
Polisi sitaki kabisa kuwasikia. Jamaa waliwahi kunivuta korodan zangu. Sitaki kabisa hata hilo jina. Mavi mavi tu wale

Aaaaah! mkuu kumbe tatizo lako unachagua kazi kumbe, kkwa mwenendo huo ungezaliwa enzi ya Nyerere basi.
 

kaka wewe ni kama mimi lakini unajua nilifanyajeeeeeeee? rudi kijijini kaweke mambo sawa kuna mambo hayajaa kaa vizuri kwako, sali sanaaaaaaaaaaaaa, na tengeneza mahusiano mazuri na mungu, Punguza chapa chapa. all the best God is greater

Mimi nilisota tangu mwaka 2006 mpaka 2013 ndio nikapata kazi nzuri tu, kampuni kubwa, full marupurupu everybody is asking me how come you got a job that company

any way ushauri wangu wa kwanza ufuate Tengeneza mahusiano mazuri na Mungu
 
Kama alivyosema mchangiaji aliyepta rud nyuma na ujiulize nia wap unamekosea kama ni kwa wazee ama huna mahusiano mazur na mungu wako cs somtym tunakuwa wepes wakulaum ama kufikia kuhisi umelogwa kumbe kuna mahali hatukutenda ipaxavyo pasipo cc binafsi kujua
 
ila umepata experience ya kutosha kwa kuzunguka na kupiga saund walinzi na ma PS wa mabosi. Hongera mkuu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…