Wanajamvi ni siku nyingi sasa simuoni wala kumsikia mzee wa mwibara ktk anga za habari na michezo kwa ujumla. Ninapenda kujua huyu bwana yuko wapi.....?
Cyprian musiba yupo dar-es-salaam anajihusisha na siasa baada tu kura za maoni kutotosha kule mwibara alibaki katika siasa za kawaida tu kwa kuwa amezaliwa ndani ya ccm na kulelewa na ccm na atabaki kuwa mwanaccm..namba yake ni 0716323201 tuma sms itamfikia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.