Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,182
- 24,685
JE, KINACHOMLINDA MUSIBA CHAJULIKANA?
JADILI!
Huyu punguani alipofika tu pahala kasema eti chama hakiwezi mfanya kitu waende mahakamani nikaacha kumsikiliza kabisa!
Nimtaarifu tu huyu bwege:
1.Musiba ni mwanachama wa CCM,ishu imepelekwa huko ashughulikiwe kama mwanachama wa CCM..Upumbavu unaosema eti hakiwezi mfanya kitu ni upumbavu!
2.Na hiyo ibara ya katiba unayoi-quote mara elfu haisemi mtu ana uhuru wa kutukana wenzie!...Hivyo una-quote kifungu unaki-apply pasipostahili!
3.Kusema katiba ndio inamkinga Musiba inaonesha hujui lolote maana katiba hamtumi mtu kutukana wananchi wenzake au kuwasemea uongo!
4.Pia kukufahamisha tu,ishu ya Musiba ni ya kisiasa na ni lazima imalizwe kisiasa na kwa bahati nzuri ni mwanachama wa chama cha siasa wana sheria zao za kuwekana sawa!
5.Uelewe kwamba,kama ni Ukuu wa Wilaya unautafuta ni vizuri ukatumia njia sahihi na uonyeshe uwezo mkubwa wa kiakili na sio upumbavu huu unaouongea!
Poor you!