Cyber law kuanza September Mosi

Cyber law kuanza September Mosi

Hii sheria itakamata wengi sana hasa wale wanaoeneza propaganda za kisiasa.
 
hahahahah! wanafikiri itawasaidi kuzuia Mafuriko???:rockon:
 
Hivi na wale ambao wameshaharibu kabla ya hyo tarehe itawahusu..
 
Sheria ya Makosa ya Mtandao kuanza kutumika kuanzia September mosi mwaka huu.

Mdau kama ulikuwa hujui chukua tahadhari na hapa hofu kubwa ni juu ya uchaguzi mkuu.

Afu yalivyokuwa madhalimu yanataja kabisa hofu yao eti ni uchaguzi, hapo watatufunga wengi
 
Hivi na wale ambao wameshaharibu kabla ya hyo tarehe itawahusu..

No Retrospectivity in criminal law, kuwa na amani wakifanya hivyo unachomoka mapema sana harafu unawashitaki ww serikali kwa malicious prosecution
 
Hakuna mwanasiasa wa ccm ambaye hayumo humu tena ndio watukanaji wakubwa na wengine wamekodi kabisa watu wa kuwasemea humu na kutukana wapinzani wao
Nani ataanza kumfunga paka kengele? Kabla haijaijaanza kutumika napendekeza invisible aanike majina halisi ya watu na ID zao utashangaa utakavyowaona wakubwa walivyokuwa wanaharisha humu ndani!
 
Bora ianze kutumika tu maana tumechoka na uzushi unaoenezwa na bavicha hapa jf.
 
lakini tunaamini ya kuwa chadema wakiingia madarakani wataipiga marufuku
 
Back
Top Bottom