Mzururaji
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,559
- 1,272
Walimu acheni kupotosha umma viwango vya mshahara vya Afya, kilimo mifugo umepotosha umma
weka unacho faham ww sio kutokwa na mipov au ili mradi uonekane umechangia
Walimu acheni kupotosha umma viwango vya mshahara vya Afya, kilimo mifugo umepotosha umma
Sister,achana na hilo gamba!mwanaume ataitwa emmy?Mr emmy kwa hiyo tumepotosha kwenye afya na kilimo na mifugo tu. Kwengine ni sahihi.
Ualimu ni wito jamani ni kazi ya kujitolea kama jkt,na hiyo ni motisha tu mnayopewa sio mishahara..!sasa wewe dokta kapata div1 ya pcb we umepata dv4 ya hkl alafu unataka mlipwe sawa huo utakuwa uchizi sio bure
Walimu acheni kupotosha umma viwango vya mshahara vya Afya, kilimo mifugo umepotosha umma
Source please???- Kilimo/mifugo 959,400/= certificates holders- KLM/MFG 1,133,600/= Diploma holders- Klm/MFG 1,354,000/= Degree Holdersmimi ni mdau katika fani hii na hizi taarifa zilizowekwa hapa siyo za ukweli hata kidogo pia zinalenga kutugombanisha na familia zetu maana mama watoto amenipigia simu akinituhumu kuwa mdanganyifu kwenye income declaration MODERATOR naomba kama huyu aliyeleta uzi hatatoa source ya data hizi kama alivyoombwa apigwe BANE ya maisha hapa jukwaani - naomba kuwasilisha.
mkuu umesema kweli kabisa viongoz wa cwt ndio wanaotuangusha sisi waalim but hata wao sasa hivi tutawatoa na tutadai haki yetu hadi kieleweke
Siwaungi mkono kwani ualimu ni wito kwa sasa,we huoni wanaosomea ualimu ni waliofeli form4&6?hilo ni chaka la vilaza,tena hyo wanayolipwa ni nying sana ingepunguzwa
HEBU TIZAMA TOFAUTI HII YA KUTISHA YA VIWANGO VYA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA WA TZ! (Ajira mpya cheti)
Mwl 244,400/= Afya 472,000/= Kilimo/mifugo 959,400/= Sheria 630,000/=
Diploma mwl 325,700/= Afya 682,000/= KLM/MFG 1,133,600/= sheria 871,500/=
degree mwl 469,200/= Afya 802,200/= Klm/MFG 1,354,000/= Sheria 1,166,000/= Je upo tayari kuvumilia kunyanyaswa hivo katika utumishi wa umma wa taifa moja lenye soko la bidhaa lililo na mfumuko wa bei wa kutisha? Ungana na Cwt kudai nyongeza ya mishahara 100%, Teaching allowance hardship allowance. Wape sms hii walimu 20 tu! Mshikamano daima.
Siwaungi mkono kwani ualimu ni wito kwa sasa,we huoni wanaosomea ualimu ni waliofeli form4&6?hilo ni chaka la vilaza,tena hyo wanayolipwa ni nying sana ingepunguzwa
F@k ur useles brain! Unataka kuniambia hao madaktari na mainjinia walifundishwa na masabury yako? Kauli yako imenikera sana...nchi zingne mwalim ni mtu mhmu sana ila tz ndo anaonekana failure! Failure mkapeleka watoto wenu mashuleni? Mngewafundisha nyumbani kwenu bs? *****!! Ashakum waungwana!