CWT yaanza kusambaza ujumbe wa simu (sms) za mgomo kwa walimu nchi nzima

Hivyo ni vitisho tu walimu hawezi kugoma. CWT imeshindwa kuwaweka walimu pamoja kwani viongozi wapo kwa ajili ya maslahi yao. Pia makundi ya walimu ni mengi; wapo walioridhika na mshahara mdogo hasa walimu wenye cheti(primary school teachers). Angalau wenye diploma, Degree na Phd wanaweza kugoma.
 
HEBU TIZAMA TOFAUTI HII YA KUTISHA YA VIWANGO VYA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA WA TZ! (Ajira mpya cheti)

Mwl 244,400/= Afya 472,000/= Kilimo/mifugo 959,400/= Sheria 630,000/=



Diploma mwl 325,700/= Afya 682,000/= KLM/MFG 1,133,600/= sheria 871,500/=


degree mwl 469,200/= Afya 802,200/= Klm/MFG 1,354,000/= Sheria 1,166,000/= Je upo tayari kuvumilia kunyanyaswa hivo katika utumishi wa umma wa taifa moja lenye soko la bidhaa lililo na mfumuko wa bei wa kutisha? Ungana na Cwt kudai nyongeza ya mishahara 100%, Teaching allowance hardship allowance. Wape sms hii walimu 20 tu! Mshikamano daima.
Tatizo la waalimu ni waoga,hawatagoma na wataendelea kuonewa.Waige mfano wa madaktari
 
Waalimu walevi sana ni dhaifu kufanya maamuzi kama Rais wao JK.Wengi wao wana vyeti vya kughushi na serikali inalijua hilo.wakigoma tu vetting itafanyika na wengi wao watatupwa nje.Hawawezi kusubutu.wataishia kulia lia tu

Sawa kabisa.

Pia hawatagoma kwa sababu wameridhika na mshahara wanaolipwa bila kufanya kazi. Ni ukweli usiopingika walimu wengi hawafanyi kazi ya kufundisha inavyotakiwa. Muda mwingi wanautumia kwa ajili ya mambo binafsi kama ulevi, majungu, ngono na wanafunzi wao(marupurupu) na wachache kazi za uzalishaji mali
 
Kinachofurahisha ni kuwa kila mara Walimu huwa wanajiandaa kugoma kisha wananyong'onyea taratibu. Nilipozungumza na baadhi yao kwa nini wakasema huwa wengi wamecheza kanyanga kwenye vyeti kwa hiyo wanajua wakiweka msimamo mchujo ukaanza wataumbuka wengi.

Hata hivyo nashauri kuwa ikiwa umeshasajiliwa, kubwa ni kusimamia haki, haijalishi vitisho ni heri kufa kishujaa. Swali ni kuwa ili kupata watu wa afya, mifugo sheria nk, je wanahitaji waalimu kuwafikisha hapo; ikiwa ndivyo basi waalimu wana mahali pa kuanzia.


Hawa ni wasumbufu na wapuuzi fulani wasion na msimamo wa kweli. Naamini ni mamluki ya ccm kwani kila wakitishia kugoma wakipewa kitu kidogo wanafyata mkia kama mbwa koko aliyedanganyiwa nyama iliyooza ili mwizi apite. Hamna lolote CWT msitusumbue huku, endeleeni kupigika mpaka mtie akili msituchanganye wala nini.
 
Niko hapa nilipo kwa juhudi zangu na za walimu wangu.

Alaaniwe awadharauye walimu. Alaamiwe mpaka apate ugonjwa wa kukojoa kitandani.

Nasikitika walimu wamekuwa waoga kudai haki zao. Hii imepelekea hata mijitu iliyofanikiwa kwa juhudi za walimu wawadharau.

Pambaf na Shenzy sana awadharauye walimu. YES I said it.

Nakuunga mkono!!
Walimu wengi ni wachapakazi, lakini mfumo wetu wa elimu/policy mbovu ndio umepelekea walimu kuwa kada isiyoheshimika. Nawaheshimu ana walimu wote walionifundisha mpaka leo hii kuweza kufikia hapa.. mungu awabariki na nitawaunga mkono forever!!
 
Hao ni makunguru hawawezi goma maana wengi wao ni waoga........ Big up Doctor(Medicine)
 
Waalimu walevi sana ni dhaifu kufanya maamuzi kama Rais wao JK.Wengi wao wana vyeti vya kughushi na serikali inalijua hilo.wakigoma tu vetting itafanyika na wengi wao watatupwa nje.Hawawezi kusubutu.wataishia kulia lia tu

Hapo kwenye vyeti vya marehemu ndipo penye tatizo!
 
HEBU TIZAMA TOFAUTI HII YA KUTISHA YA VIWANGO VYA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA WA TZ! (Ajira mpya cheti) Mwl 244,400/= Afya 472,000/= Kilimo/mifugo 959,400/= Sheria 630,000/= Diploma mwl 325,700/= Afya 682,000/= KLM/MFG 1,133,600/= sheria 871,500/= degree mwl 469,200/= Afya 802,200/= Klm/MFG 1,354,000/= Sheria 1,166,000/= Je upo tayari kuvumilia kunyanyaswa hivo katika utumishi wa umma wa taifa moja lenye soko la bidhaa lililo na mfumuko wa bei wa kutisha? Ungana na Cwt kudai nyongeza ya mishahara 100%, Teaching allowance hardship allowance. Wape sms hii walimu 20 tu! Mshikamano daima.
Source please???- Kilimo/mifugo 959,400/= certificates holders- KLM/MFG 1,133,600/= Diploma holders- Klm/MFG 1,354,000/= Degree Holdersmimi ni mdau katika fani hii na hizi taarifa zilizowekwa hapa siyo za ukweli hata kidogo pia zinalenga kutugombanisha na familia zetu maana mama watoto amenipigia simu akinituhumu kuwa mdanganyifu kwenye income declaration MODERATOR naomba kama huyu aliyeleta uzi hatatoa source ya data hizi kama alivyoombwa apigwe BANE ya maisha hapa jukwaani - naomba kuwasilisha.
 
Ngoja nione udhaifu mwingine wa jk katika hii migomo, yan walimu kila mwaka mnatangaza mgomo lakini sioni matundz yake.

Mkipandishiwa mshahara mfundishe kweli.
 
Walimu kugoma ni ngumu kwani CWT ni kibaraka wa Serikali na Chama tawala. Mara ngapi Mkoba ametusaliti ebu mukoba atoke ndipo mgomo utawezekana. Ebu Mkoba wadhihirishie walimu kuwa wewe si Kibaraka wa serikali! Pesa za walimu mnakata kubwa eti mnawatetea mbona mwaka hadi mwaka walimu wanazidi kunyanyasika? CWT imeoza imekwisha tuitose. wanatudanganya na kutuacha solemba.
 
hawana kitu hawa wakitwa kwenye kikao cha majadiliano na kupewa sitting allowance zao inakuwa basi kuna badhi wanaamini kuwa CWT ni tawi/jumuhiya ya chama

Tatizo lao ndo hilo mshikamano kwao hakuna, kwanini wasiwe na msimamo kama maDr.?
 
Kinachofurahisha ni kuwa kila mara Walimu huwa wanajiandaa kugoma kisha wananyong'onyea taratibu. Nilipozungumza na baadhi yao kwa nini wakasema huwa wengi wamecheza kanyanga kwenye vyeti kwa hiyo wanajua wakiweka msimamo mchujo ukaanza wataumbuka wengi.

Hata hivyo nashauri kuwa ikiwa umeshasajiliwa, kubwa ni kusimamia haki, haijalishi vitisho ni heri kufa kishujaa. Swali ni kuwa ili kupata watu wa afya, mifugo sheria nk, je wanahitaji waalimu kuwafikisha hapo; ikiwa ndivyo basi waalimu wana mahali pa kuanzia.

Pamoja na yote hayo wanatakiwa kusacrifice kila kitu na kuamua kusimamia haki yao kwani huko kwenye vyeti si kwao tu hata viongozi wa serikali ni wengi sana na serikali inalitambua hilo na imekuwa kimya, police na wanajeshi ndo usiseme ni braa tupo, kwahiyo msihofie hilo ktk kudai haki yenu!
 
aghaaaaa! Hawa hawawezi kwa sbb karibu nusu yao ni failures
AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA NDIO HUKU[/QUOTE]
 
Waalimu mmepata div four zenu mkapewa kazi ili msife njaa bado mnalalamika. Ktk sekta inayoongoza kuwa na failure wengi ni ualimu. Mkifukuzwa ualimu mtaenda wapi? Wengine ni Waalimu UPE, nao wanadai fadhila. Kufundisha hamfundishi, mnadai maslahi. Gomeeni muone, tunawafuta kazi mkalime.
Jaribu kufikirisha akili zaidi unapochangia mambo ya msingi.Jua hao unaowatukana na kuwadharau wanaweza kuwa mjomba/Mama mdogo/Shanagazi/Mama mkwe/Baba mkwe/Ndugu na jamaa/Rafiki yako/Baba yako.Hao failure ndio wamekufikisha hapo ulipo ukaweza kuandika humu jamvini lakini bado unawaona wao ni failure!!! Walikuelimisha wakijua siku moja watapata shukrani kutoka kwako ,wazidi kujivunia kazi yao japo hawakuwa wanalipwa vyema ila wanachoambulia kwako ni kejeli na matusi.Mungu akusamehe.
 
Kwa sasa kuna ujumbe ambao tayari kila mwl amekwisha upata na umeandikwa hivi:
'HEBU TIZAMA TOFAUTISHA YA KUTISHA YA VIWANGO VYA MISHAHARA MIPYA
KWA WATUMISHI WA UMMA TANZANIA:

Ngazi ya Cheti:
Mwalimu 244, 400/
Afya 472,000/
Kilimo/Mifugo 959,400/
Sheria 630,000/
Ngazi ya Diplomma
Mwalimu 325,700/
Afya 682,000/
Kilimo/Mifugo 1,133,600/
Sheria 871,500/
Ngazi ya degree
Mwalimu 469,200/
Afya 802,200/
Kilimo/Mifugo 1,534,000/
Sheria 1,166,000/
UKO TAYARI KUVUMILIA KUNYANYASWA HIVYO KATIKA UTUMISHI WA UMMA
WA TAIFA LENYE SOKO LA BIDHAA ZILE ZILE, MFUMKO WA BEI HUO HUO,
MAISHA MAGUMU YALE YALE.....
TUUNGANE KUDAI NYONGEZA YA MISHAHARA KWA 100%, TEACHING ALLOWANCE,
HARDSHIP ALLOWANCE.
WATUMIE WALIMU 20 TU, MSHIKAMANO DAIMA.
 
Walimu acheni kupotosha umma viwango vya mshahara vya Afya, kilimo mifugo umepotosha umma
Kwa sasa kuna ujumbe ambao tayari kila mwl amekwisha upata na umeandikwa hivi:
'HEBU TIZAMA TOFAUTISHA YA KUTISHA YA VIWANGO VYA MISHAHARA MIPYA
KWA WATUMISHI WA UMMA TANZANIA:

Ngazi ya Cheti:
Mwalimu 244, 400/
Afya 472,000/
Kilimo/Mifugo 959,400/
Sheria 630,000/
Ngazi ya Diplomma
Mwalimu 325,700/
Afya 682,000/
Kilimo/Mifugo 1,133,600/
Sheria 871,500/
Ngazi ya degree
Mwalimu 469,200/
Afya 802,200/
Kilimo/Mifugo 1,534,000/
Sheria 1,166,000/
UKO TAYARI KUVUMILIA KUNYANYASWA HIVYO KATIKA UTUMISHI WA UMMA
WA TAIFA LENYE SOKO LA BIDHAA ZILE ZILE, MFUMKO WA BEI HUO HUO,
MAISHA MAGUMU YALE YALE.....
TUUNGANE KUDAI NYONGEZA YA MISHAHARA KWA 100%, TEACHING ALLOWANCE,
HARDSHIP ALLOWANCE.
WATUMIE WALIMU 20 TU, MSHIKAMANO DAIMA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom