Kweli CWT ni wezi hawasaidii walimu kuwatetea maslai yao!Bali ULA pesa tu!KWA mfano Rafiki yangu alikuwa anakatwa na pspf na lapf KWA wakati Moja!alipoenda KWA mwajiri wake wakastop lapf.hivo akaanza kudai kurudishia makato take ikashindikana akaenda CWT wilaya wakamuhidi kufuatilia sasa ni miaka 2 Vila CWT kufuatilia aliens wanamwambia watafuatilia!kweli CWT ni watapeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.