Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
kwa umri wake angekuwa amestaafu. Huko kwenye siasa hakuna kustaafu. Taabu ni pale anapokuwa hana uwezo wa kuungoza lakini analindwa na mtandao kwa gharama ya uhai wa wawatu.Kwa kiwango chake cha elimu mbona kama si tamaa ya pesa angekuwa wodini akitibu wangojwa badala ya kupiga siasa za maangamizi na sanaa. Big girl, go and save life instead of being abused by stupid politicians. Binti, achana na siasa za ubabaishaji ulinde heshima ya taaluma yako.