CV ya Paul Mzindakaya



Ni kweli alisoma Forest ila alikosa credit za kufanya mtihan wa 'A' level na akaenda CBE pale
 
Jamaa ni mtu wa watu vibaya mno,namkubali sana paul mzindakaya..piga kazi paul hachana na wenye wivu
 

Watz tumefikia hatua hii! Sasa kama ni mmalaysia au mgogo au mrundi si uamuzi wake?Mlitaka aoe mana zenu wadogo?
 
Sasa hivi familia iko vizuri,dada yake VIOLET yuko Kampala University Uganda,tangu ajiunge na chuo hicho miaka takriban 3 anaishi 5 stars hotel hapo Kampala,kwa kweli watu waliofili nchi hii ni wengi.
 
Sasa hivi familia iko vizuri,dada yake VIOLET yuko Kampala University Uganda,tangu ajiunge na chuo hicho miaka takriban 3 anaishi 5 stars hotel hapo Kampala,kwa kweli watu waliofilisi nchi hii ni wengi.
 
Weka yako kwanza,mpuuzi nini unashindwa fanya kazi unajadili watu humu,kuvaa jean ni tatizo?wangapi wanavaa tai na wameshindwa kazi

kuwa kiongozi wa umma tayari ni issue,uongozi una miiko yake si kujiishiaishia tu!
 
hizi ni ishu binafsi tunakwachia wewe na mzindakaya wako na chuki zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…