CV ya Pascal Mayalla

Tufunge lini? Tulisogeze mikononi mwa Bwana
Tumejaza fomu na kuzirudisha, tutaitwa kuhojiwa na vikao, ili kupeleka majina kwenye vikao uteuzi, hapo sasa ndipo nitawajulisha tuanze kusali tukifunga na kuomba ili jina lipitishwe. Uchaguzi ni Bunge la November
Sisi CCM tuko 186 tukigombea nafasi 6!.
p
 

Utapita Mkuu!!!Unastahili
 
Pascal Siku Ile alivyosema aliomba mil1 jamaa akamnyima, nilipata uchungu Sana.

Pascal akiongea na maandiko yake utatakani uendelee kumsikiliza na kusoma habari. Anajua Sana.

Namuona muaminifu tu Hana shaka. Huwez kumshuku Kwa lolote. Pili huyo mkulu wenu sijui but always wasukuma watu poa sana. Sijui tu hawo kina bashi&$-$ wenu sijui wanatokea wapi.


Hakuna MTU ambaye hajakaa na wasukuma they are cool and nice people. Chunguzen hao wengine
 
Hakuna MTU ambaye hajakaa na wasukuma they are cool and nice people. Chunguzen hao wengine
Naunga mkono hoja, Wasukuma wenyewe asili na halisi ni watu poa sana, ila siku hizi kumeibuka kada mpya ya Wasukuma wa ajabu ajabu wenye tabia za ajabu ajabu tofauti kabisa na tabia za kiasili za Wasukuma asili na halisi. Hawa watu wanatuharibia sana kabila letu na kutufanya Wasukuma wote tuonekane ni watu wa ajabu ajabu!.
P
 
AMEN
 
Mkuu guzman_ , kwanza asante kunianzishia thread, nina jambo langu
Tumuombee mwanaJF Pascal Mayalla apitishwe

Wote tuseme Amen!
Mkuu Yahana Mbatizaji, johnthebaptist , amen, amen!.
Hili jambo nimelianzia hapa Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe!
Nikakumbana na Kikwazo cha kwanza hapa Licha ya vikwazo kadhaa, hatimaye nimefanikiwa kuianza ile safari. Asanteni kwa sala zenu zimesaidia ila bado zinahitajika sana! Mungu nisaidie
Nikatoa ushauri kwa chama changu kuhusu EALA Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo
Kazi ya Uelimishaji Umma kuhusu EAC inaendelea Ijue Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Fursa za Mtangamano
Tukaitwa Dodoma kuhojiwa, huko nikakutana na A shock of my life, furaha yageuka shubiri. Be good to people on your way up, you might meet them on your way down, mwenzenu leo yamenikuta!
Sasa leo ndio kikao cha CC kuchuja majina, hivyo sala zenu zinahitajika sana kuliko wakati mwingine wowote!.
Mungu Nisaidie!.
P
 
Update
Rejea
Mwandishi ni Mtangazaji wa zamani wa External Service ya RTD.
Mabandiko mengine ya mwandishi kuhusu Watangazaji wa iliyokuwa RTD
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…