CV ya Naibu Waziri wa Elimu Philip Mulugo: Je inatosheleza kusimamia majukumu aliyopewa?

Status
Not open for further replies.
Wadau naomba tuiangalie CV ya huyu Naibu Waziri wa Elimu na Ufundi tuone kama ina kidhi majukumu mazito :


EDUCATION
Rukwa Primary School, Chunga Primary Education 1982 1989 PRIMARY
Mbeya Secondary School O-Level Education 1990 1993 SECONDARY

2007[/QUOTE.
Primary school miaka minane? Alirudia AMA hakumbuki alisoma miaka ipi? Ama in enzi za middle school?
 
Kali zaidi, RUkwa Primary SChool - PRIMARY! Alidhani watu watafikiria secondary?
 
Waweza Pima uelewa aw MRI kupitia uandishi wake. Uandishi Huu wa cv unaonysha jamaa ni bogus
 
Uozo! hapa tunategemea awe na nguvu katika kupitisha mipango endelevu ya elimu ya Tanzania...tumekwisha yaani hata mie mzito duh! kumbe hawa jamaa ni hewa, suti na tai ndio zinawasitiri?
 
Daah imenisikitisha saaana leo,mimi nipo university of cape town mwaka wa tatu sasa leo asubuhi nimetoka lecture lecturer mzimbabwe,am sure juzi nae alikuwepo ktk hiyo presentation ya mh philipo mulugo(though personal namjua kama MULUNGU),
Basi baada ya pindi mzimbabwe alipokuwa anata kutoka akauliza humu c kuna WATANZANIA, Watu tukajibu tupo as tukizani kuna shavu limekuja,mzim akasema mmeonana na NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA UFUNDI WA TANZANIA? daaah from there nikajua jamaa anatuchora then akaacha link ya youtube ubaoni then akaondoka
 
Asee hii ni soo na kama haya mambo yataendelea hivi sishangai kusikia siku hata kova nae anakuja kuwa waziri kwasababu kwanza wenye sifa wapo kibao sema hawawapendi kwa kuwa watanyoosha maelezo na kulipowa mabomu yaliyotegeshwa ndani ya wizara kibwena longtime kitambo si mnasikiaga wanasema Intelligensia kwa wenzetu hii intelligensia inawasaidia kutatua matatizo hapa kwetu inasaidia kuficha maovu ya wachache wanaojineemesha ndo maana hata anapotoka mtu anaekuja lazima atakuwa mfuasi wa alietoka yote hiyo ni kubebana Tumuombe Mungu atatuonesha njia
 
Ahasante kwa kutujuza! Yaani Mwalimu wa shule ya Sekondari BINAFSI, asiyepata mafunzo yeyote ya UALIMU, anapanda ngazi hadi kufikia UNAIBU WAZIRI WA ELIMU!!!! Tunaipeleka wapi ELIMU katika nchi hii jamani? Lakini usishangae wana JF kibao watajitokeza na kumsifia kuwa jamaa ni KICHWA!!! We haya we!
Na hiyo shule binafsi ni yake...Ingekuwa ni kuajiliwa sina hakika kama angepata kuwa mwalimu...Maana hata voda fasta hakupitia huyu...Nway, si unajua nafasi za uongozi ndani ya sirikali hii ni kujuana!

 
Southern Highland Secondary School School Managing Director 2008 2010
nd SSouthern Highlaecondary School Administrative & Personnel Officer 2005 2010
Southern Highland Secooondary Schl Teacher 2000 2004
........[/QUOTE]

Hiyo shule (red) ndo ipo shinyanga wanayolipa Milion 8? nasikia ya bwana Masafa? if yes to the quizes then no wonder! WHO YOU KNOW.
 
Pale wizarani kuna PS, huyo ndo anapaswa kuwa mtaalamu. Waziri ni kisiasa zaidi, hata kama hana background ya wizara anayosimamia. Sasa kama huyu ana bahati ya kuwa "mwalimu" na background ya admin, anatosheleza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom