Cv ya kova tafadhali

Cv ya kova tafadhali

illegal migrant

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
1,277
Reaction score
1,121
kuna namba ya ya polisi ya dharura ambayo huwa tunaitumia kipindi cha dharura cha dharura kama kile kipindi cha noah nyeusi, au hivi vitoto vya mbwa na panya vinaposumbua.....binafsi huwa ni mtumiaji mkubwa wa hii namba lakini kila napo toa taarifa huwa naambiwa "taarifa tunazo tumeshatuma polisi na wamekuta ni uzushi mtupu....wakati kihalisia basi ngoja niiishie hapo...
 
Ujinga mtupu hakuna cha paka wala panya watu wa Dar ni wambea sana
 
Wanapotezea issue ya vijana wa Chadema kutoka Geita-Ikulu.
 
wakati wadau wanaisakua CV ya Kova,
moja kati ya hobies zake ni pamoja na KUPENDA KIOO, eeeh hadi baraaa!
 
ooh Panya Road, ooh mbwa ... haya yote ni ishara ya failed state!
 
we mwehu kweli watu tumepona kufa unaleta ungese hapa njoo kagera kituo cha polisi wakusimulie kilichowapata

Acha uongo jana usiku nilikuwa hapo kagera Ulaya Ulaya Bar sijawaona hao panya wenu uoga tu unawasumbua
 
Waache vijana wajitafutie riziki mi mwenyewe zisingekuwa mishe hizo nisingefika hapa nilipo,serikali haitujari vijana kazi kupiga Escrow tu.Sasa sie tufanyeje!
 
kuna namba ya ya polisi ya dharura ambayo huwa tunaitumia kipindi cha dharura cha dharura kama kile kipindi cha noah nyeusi, au hivi vitoto vya mbwa na panya vinaposumbua.....binafsi huwa ni mtumiaji mkubwa wa hii namba lakini kila napo toa taarifa huwa naambiwa "taarifa tunazo tumeshatuma polisi na wamekuta ni uzushi mtupu....wakati kihalisia basi ngoja niiishie hapo...

Boda boda akiona vurugu hugeuza pikipiki kwa kasi na kukimbia bila kujua ni za nini huku akiwapigia simu wenzake na kusambaza uongo kwenye vijiwe vya boda boda kuwa ameona panya rodi na hapo ndipo hua mwanzo wa kusambaa uzushi huu
 
Nachokunbuka mwisho imeandikwa retired,, alipataje mkatqbampya shidaaa
 
Back
Top Bottom