Cv ya kova tafadhali

Cv ya kova tafadhali

kova hufai kuwa hata kamanda wa sungusungu wa kijiji wakati panya roada umewashinda...!!!
 
Jaman,ni cv ya kova inauliziwa,mbona mnaleta story za panya buku?Kova ana Phd.aka Dr.Kova
 
Ujinga mtupu hakuna cha paka wala panya watu wa Dar ni wambea sana
Jamani hatakama hampo dar, I la jueni ili tatizo halija anza jana, na hata kabla ya hao vijana kuanza safari yao...ila jana ilikuwa kufuru mitaa mingi ilivamiwa. Hatuawadanganyi, ila naamini kuna ndugu zenu wapohuku jaribu kuwa uliza pi
 
Yaani, hata mimi nashangaa, wananchi zaidi ya 1000 tunaonekana waongo kuhusu vurugu za jana..za panya road, watu tunakimbia kama vichaa njiani halafu hii leo inaonekana story za kutungwa tu...hii nchi hii,
 
quote_icon.png
By MWAMFUPE

apende kioo kwani yy fundi makabati?
Teh..... sijakusoma, mshangao au swali lako linalenga nn

Hajakuelewa uliposema KIOO, yeye anadhani kioo cha kujitazama (mirror) wakati wewe unamaanisha KIOO (on screen)!
 
Asante Wisdom, naona Mwamfupe ametabasamu/ ametuelewa baada ya ufafanuzi wako.

Dah. Mzee yule anapenda Screen hadi hatareee!
 
Back
Top Bottom