1. kifupi Baba yake mzazi alifia Uingereza na kuzikwa huko, aliwaachia watoto na wajukuu urithi hata nyumba ya kuishi wanayo.1. Swali la msingi ni sera ya elimu na yeye kusomesha watoto nje. . . . . .Upi msimamo wake??!?
2. Watoto ni wake kasomesha yeye nje ya nchi na inasemekana wanafanya kazi huko, sababu ya maslahi??!! Uraia??!! Wanachukia Tanzania au nini hayo utasema waulizwe watoto fine. . . . .yeye akiwa CJ chini yake watumishi wangapi walipata scholarship ili kuongeza elimu nje ya nchi?????
Mkuu hizi taarifa za kutunga umezipata wapi mbona ni tofauti kabisa na alizotoa jaji mwenyewe?1. kifupi Baba yake mzazi alifia Uingereza na kuzikwa huko, aliwaachia watoto na wajukuu urithi hata nyumba ya kuishi wanayo.
2. anayefanya kazi humo ni last born tena huku akiwa chuo bado kama wabeba maox wengine kutoka Tanzania.
Fisrt born wake yuko NBC ni lawyer, second born yuko shirika moja linajihusisha na masuala ya ukimwi la Kimarekani lipo karibu na Upanga Makao Makuu ya Jeshi alias Ngome, Watatu yuko Arusha kampuni za kitalii what else??????
kwa kifupi Jaji Mkuu Mstaafu ana watoto wanne, Francis, Bridget, Marina na Mathew. na wote wamesoma Uk-Liverpool na wamemaliza ila Mathew bado anaishi huko huko Liverpool. kwa hiyo hana jukumu la kusomesha labda wajukuu lakini watotot alishamaliza zamani. na majina hayo nimekutajia kuanzia first to last born.
Mwacheni aje atatukuta sie Ukawa tupo fiti. Ukae kwenye system alafu leo uje uweze kuigeuka hiyo system eti utapambana nayo? wadanganyeni watoto wa vidudu lakini siyo watz
1. kifupi Baba yake mzazi alifia Uingereza na kuzikwa huko, aliwaachia watoto na wajukuu urithi hata nyumba ya kuishi wanayo.
2. anayefanya kazi humo ni last born tena huku akiwa chuo bado kama wabeba maox wengine kutoka Tanzania.
Fisrt born wake yuko NBC ni lawyer, second born yuko shirika moja linajihusisha na masuala ya ukimwi la Kimarekani lipo karibu na Upanga Makao Makuu ya Jeshi alias Ngome, Watatu yuko Arusha kampuni za kitalii what else??????
1. kifupi Baba yake mzazi alifia Uingereza na kuzikwa huko, aliwaachia watoto na wajukuu urithi hata nyumba ya kuishi wanayo.
2. anayefanya kazi humo ni last born tena huku akiwa chuo bado kama wabeba maox wengine kutoka Tanzania.
Fisrt born wake yuko NBC ni lawyer, second born yuko shirika moja linajihusisha na masuala ya ukimwi la Kimarekani lipo karibu na Upanga Makao Makuu ya Jeshi alias Ngome, Watatu yuko Arusha kampuni za kitalii what else??????
Good inaeleweka ila sasa akipata Urais . . . . . .ataandaa sera ya kupeleka watoto nje kusoma au ataimarisha elimu ya ndani??!!!
1. Naongelea sera ambayo itanufaisha watu kwa mapana sio kila mtu aangalie watoto wake basi. . . . kama waliosomesha ndani hawajafanya kitu basi ndio uwe mbuni kuficha kichwa uache mwili wakati mwili ndio unatafutwa kwa kitoweo???!!Kwani hata hao wanaosomesha watoto wao ndani wamefanya nn kuboresha elimu yetu?
...hata we we ukipata fursa ya wanao kwenda kusoma nje utagoma wasiende kwa kigezo cha uzalendo?!
Pia huongoza ibada na kupiga kinanda kanisani:angel:Yes its true...Retired Brigadier General Of TPDF...btw JK is a Liutenant Colonel........
Ni Mwanajeshi, Mzanzibari, mkristo, mwanasheria, "ameshafanya kazi na tume za uchaguzi zote mbili", umri wake ni miaka 70. Huyu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar atausimamia kwa juhudi zote.
Bill Gates has none (only honorable ones)!he's got one degree
Kweli huyu jamaa ni mkonomtupu, matusi tu ndo kipaji chako. Mzee wenu alishindwa kuisimamia mahakama mpaka ikawa taasisi inayoongoza kwa Rushwa ndo ataiweza kwenye level ya Taifa? atwambie wahanga wanyonge waliopoteza haki zao kwasababu ya Rushwa iliyostawi wakati wa uongozi wake atawalipa nini?
jamii forums imbeciles at work, + viroba original