Huyu jina lake ni KASAVUBU kabila lake ni M-bembe. Ni maji ya kuvuka. Anatokea Kitongoji cha BUZEBAZEBA Kigoma. Aliwahi kuwa Kiongozi mkubwa DARUSO UDSM miaka ya 99 chini ya MKUMBO KITILA. Amepata kashfa nyingi sana akiwa kiongozi moja wapo ni umalaya wa kurubuni first year ili wapate favour na kusaliti wanafunzi wakati wa migomo. Alikuwa cheap na easy to compromise. Alitaka kugombea ubunge Kigoma 2005 but historia ya uraia wake unamkosesha amani. Wale wanaojua radicalism ya watu wa Kigoma watamshangaa sana ndugu huyu. Ni mpenzi wa basketball na jogging. Ana watoto kila pahala alipoishina kusoma . Wachaga ni shemeji yeni...warangi shemeji ueni...wazaramo....wasafwa....wahaya.... you mention....